Mwenye sample ya barua ya maombi ya kufunga ndoa za kiserikali

Acha hizo. Shughulisha kichwa chako kabla hujaomba msaada.
msaada ni kitu gani?
Hamna sehemu nimeomba msaada hapa

Nimeleta tushauriane kama unaona ushauri n msaada bas una safari ndefu kwene hii dunia
 
... Utajaziwa fomu ya Tangazo la siku 21, lenye majina na Picha zetu mbili 😂 ... Mkuu naona hutaki utani na wewe umeamua kujiweka

Umesema inabaki kazi gan? Miwani Sina hapa ... Hayo maandishi ya mwisho sijaona vezuriiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…