Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Bure hapana bossBure hutaki mkuu!?
Muuzie hiyo uvute kitu kipyakwa kuhitaji simu hii wewe unajua simu..natumia hii simu..naenjoy mno.. hasa camera yake .nyoko samsung hizi A series sjui..wala redmin sjui haziikuti hii simu
mkishapata vihela kidogo mnaanza dharaukwa kuhitaji simu hii wewe unajua simu..natumia hii simu..naenjoy mno.. hasa camera yake .nyoko samsung hizi A series sjui..wala redmin sjui haziikuti hii simu
Kuna zile Huawei zimetengenezwa kwaajili ya soko la ndani zinakua na additional features. Mfano upande wa lugha. Mimi nipo najifunza kichina, nimeshauriwa nitafute simu hiyo.Kuna Huawei ambazo si za wachina?
Sina pesa ya dukani, nahitaji used tu inanitosha kabisa.Inamaana madukani hakuna,au...
Ndio boss hiyo hiyoHembu subiri kdg,
Hii ni ile ya 2018 au nyingne?
Hapana boss, nahitaji used tu boss. Ukisikia mtu anaitoa nitonyebro si uagize mpya kabsa GB 128 RAM 4
P30 Pro itakufaa?Habari wakuu,
Nipo mbele yenu, nimeweza kutafuta vihela ili niweze kununua simu.
Baada ya kuwaza sana nimeona simu inayo nifaa ni HUAWEI P20 PRO.
Hivyyo mwenye simu aina ya Huawei P20 Pro model ya kichina naomba aniuzie.
Natafuta used inanitosha sana.
Kama unayo ni PM.
Mawasiliano yangu ni 0612607426
Nahitaji P20 PRO bossP30 Pro itakufaa?