Hujamuelewa mleta mada, yeye hakupata tabu ila waliopata tabu ni wale jinsi ulivyoelezea komenti yakoSiku nyingine panda basi zenye A/C[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Anyways ukifungua kioo upepo haukupati we uliyekaa firishani ila wa nyuma yako ndio wanaumia, ha kwenye manyunyu ni hivyohivyo.
Hatimaye Tumempata dronedrake 🤣
Binamu kumbe umenielewa na mm simzumziii yeye ila kwa yeyote kwenye gari ukifungua kioo anayeteseka ni wa nyuma.Hujamuelewa mleta mada, yeye hakupata tabu ila waliopata tabu ni wale jinsi ulivyoelezea komenti yako
[emoji3]Basi lenye Ac wilayani unalipata wapi mkuuSiku nyingine panda basi zenye A/C[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Anyways ukifungua kioo upepo haukupati we uliyekaa firishani ila wa nyuma yako ndio wanaumia, ha kwenye manyunyu ni hivyohivyo.
Nakuelewa mkuu 🤣🤣🤣🤣[emoji3]Basi lenye Ac wilayani unalipata wapi mkuu
[emoji3]Alishapaniki nayeye, kwahio niliamua kukaa kimya tu,halafu makelele kina kona wale jamaa wanaongea kwa sauti kweliUsikute alikua hajiskii vzr Kwa Sababu ww ulikua umemlia ganzi ila ungemwambia ww kiungwana angeelewa fresh tu
Nadhani pia alikosea, hasa alipogoma kuhamishwa siti,ila nahisi pia ni sababu walishamzonga sanaHuyo dada busara atakuwa katoka Lile kabisa la wababe Tena single mama ilitakiwa arejeshewe nauli yake.
Alichofanya ni kiburi na dharau tu sababu ya malezi mabovu na Sio afya thus aligoma kuhama siti.
Ukimstudy lazima atakuwa na element za uchawi.
Huyo ni kukata Kofi moja akili ikae sawa
Watu hulalamika kutokana na sura ya mtu, ukiiona sura yangu hata wewe lazima upate uoga kulalamikaWakilalamika wa nyuma?
[emoji3][emoji3],hapo ndio shida inapoanzia,kipindi cha Korona nimepanda Costa fulani mpya hivi vioo vimefungwa vyote hewa nzito halafu Ac haijawashwa,nikaona nifungue dirisha,aisee wale wasukuma walimind eti baridi inaingia,nikawauliza hivi baridi na Corona kipi afadhali,ikawa nikifungua yule jamaa anafunga,ikabidi Konda afungue dirisha la mbele kabisa kule.Kuna siku bwana natoka zangu dom nikadaka usafiri pale four ways zile Bus za saa nne ,nikakaa na dada mmoja product ya Meatu[emoji23]
Yule dada kila muda namwambia fungua dirisha hewa ni nzito humu, anafungua,nikilala anafunga tena,Msukuma yule alinichosha nikahama seat
Hata siti tu bado ina utata,kuna siti unaweza kuzilaza kwa nyuma,hebu laza umbane wa nyuma uone vita itakayozuka hapoIpo hivi ndugu Mtanzani.
(Msafiri kafiri) abilia aliyekata upande wa dirishani hana mamlaka na dirisha ila ana mamlaka na [emoji575] aliyokalia pamoja na kufungua kufanya anachotaka pasipo kukushirikisha wewe wa pembeni.
Ila ikitokea ukawa na matumizi ya dirisha sababu yupo eneo linalomuhusu, unaweza kumshirikisha sababu ya kero unazoweza kumpa huyo wa upande wa dirishani.
Hakupaswa kufanya huo utoto alioufanya, binafsi huwa supendi kukaa upande wa dirishani but first of all abilia anayekuja nampa sharti la dirisha.
Huyo binti hajakutana na wababe wewe, asee humo kwenye basi siku hiyo wote mlikuwa wenye wokovu mnamsubiri bwana kwa kuepuka 'z'ambi [emoji1]!.