Ipo hivi ndugu Mtanzani.
(Msafiri kafiri) abilia aliyekata upande wa dirishani hana mamlaka na dirisha ila ana mamlaka na [emoji575] aliyokalia pamoja na kufungua kufanya anachotaka pasipo kukushirikisha wewe wa pembeni.
Ila ikitokea ukawa na matumizi ya dirisha sababu yupo eneo linalomuhusu, unaweza kumshirikisha sababu ya kero unazoweza kumpa huyo wa upande wa dirishani.
Hakupaswa kufanya huo utoto alioufanya, binafsi huwa supendi kukaa upande wa dirishani but first of all abilia anayekuja nampa sharti la dirisha.
Huyo binti hajakutana na wababe wewe, asee humo kwenye basi siku hiyo wote mlikuwa wenye wokovu mnamsubiri bwana kwa kuepuka 'z'ambi [emoji1]!.