Mwenye siti ya dirishani ndani ya basi ana haki zipi?

Kweli aisee huyo dem hakukutana na washari wenzie, kuna viumbe wanapenda ugomvi hatari.
Kuna mjomba wangu naona kabisa hilo zogo angelinunua yeye.
 
kisanga cha pili ilikuwa kwenye basi la mkoa tunatoka skul tunaenda likizo.., mzee mmoja alinichomoa siti ya dirishan akadai ni siti yake nkaona isiwe tabu nikatoka nikakaa sit ya kat (3x2)..,sasa siti za mbele kuna mwanafunz mwenzetu alikuwa anaumwa na yeye alikaa sit ya dirishan. Jamaa akawa anajiskia kutapka akaambiwa afungue dirisha tapike nje daah..., ile anatapika yale matapishi nusu yalifanikiwa kwenda nje na nusu yalirudi ndan kutokana na upepo mkali..sasa yule mzee alioga matapishi 70% na 30% yalitufikia sisi wengine. Asee mzee alifoka sana ila me nlikuwa nacheka internally...
 
bandiko lako ni fikirishi SanΔ…...duh
 
Andiko zuri sana na lenye kubungua bongo.
Ni kweli watoto wanasumbuliwa sana na baridi.
Vile vile kuna watu wazima wana shida ya upumuaji.
Hewa ikipungua wanahangaika sana.
Ninaye ndugu yangu ambaye asipopata kiti dirishani yuko radhi kutosafiri.
Wengine.hutapika sana.

Si ajabu kuwa binti huyu alikata tiketi siku kadhaa kabla ya safari ili apate kiti cha dirishani.

Ni changamoto kubwa.
Huenda ndiyo sababu konda "kwenye busara" aliondoka kimya kimya.
 
Kweli aisee huyo dem hakukutana na washari wenzie, kuna viumbe wanapenda ugomvi hatari.
Kuna mjomba wangu naona kabisa hilo zogo angelinunua yeye.
πŸ˜‚πŸ˜„ Au uncle wako atakuwa mimi ila hatujuani humu jf, maana issue ndogo kama hizi huwa simuiti konda, nafanya kumuondoa kibabe upande aliokaa naweka mtu mwingine.
 
πŸ˜‚πŸ˜„ Au uncle wako atakuwa mimi ila hatujuani humu jf, maana issue ndogo kama hizi huwa simuiti konda, nafanya kumuondoa kibabe upande aliokaa naweka mtu mwingine.
🀣🀣🀣 labda mkuu kuna watu ni washari hasa.
 
Issue kama hii haipaswi kutafuta mshindi, inahitajika busara tu kuweza kumaliza mzozo.

Kitendo cha huyo dada kukaidi kuhamia siti nyingine kama alivyoelekezwa na konda wa pili ni dalili ya ukorofi,malezi mabovu na ubinafsi.
Sahih Battling is a sign of Mental illness.
 
Dawa kununua gari lako tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…