Mwenye soft copy ya riwaya ya mkimbizi

Mwenye soft copy ya riwaya ya mkimbizi

Natamani nkuombe uniscanie[emoji18]
Mimi nilikitafuta kwa udi na uvumba mtu alinitumia kutoka huko dar soft copy iliishia hapo tiga kampata the barstard kuscan ndo kipengere hata sijui huwa wanascann vipi labda tuwasiliane unielekeze nikusaidie
 
Mimi nilikitafuta kwa udi na uvumba mtu alinitumia kutoka huko dar soft copy iliishia hapo tiga kampata the barstard kuscan ndo kipengere hata sijui huwa wanascann vipi labda tuwasiliane unielekeze nikusaidie
Unatumia nambie unatumia jina ganii nkutafte.....
Kuna application inaitwa cam scanner unascan tu inbatch
 
Kuna iziii Ido na ten chapters alie nayo anisaidie [emoji18] jamn
PXL_20240323_105653641.jpg
 
Nikichukua hizi pdf za mkimbizi zinagoma kama mtu anozo naomba anitumie whatsapp +255788587855
 
Aiseh nlijua baada ya mdada kumpata the bastard Kuna mwendelezo
Hicho kitabu nilikisoma mwaka 2006

Baadhi ya mambo ninayoyakumbuka ni The rickshow, The bastard, Kemirembe wairema, Tiga Mumba, Waga Maingo

Pia ile scene ya kupigwa risasi ya kichwa na mdunguaji kichwa kikapasuka kama tiki tiki maji

Kusoma vitabu nimeanza zamani aisee
 
Back
Top Bottom