Mwenye taarifa kamili za msaidizi tapeli wa Makonda atusaidie. Je, baada ya kubainika alichukuliwa hatua?

Mwenye taarifa kamili za msaidizi tapeli wa Makonda atusaidie. Je, baada ya kubainika alichukuliwa hatua?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
RC Arusha amedai Dreva wake alikuwa akitumia gari la RC kutapeli watu apewe pesa. Lakini hakuna Sehemu alimtaja kwa jina na wala sijawahi kusikia muhusika akifikishwa mahakamani. Waliotapeliwa nao pia wameendelea kukaa kimya maana yake walikubali kutapeliwa au na wao walikuwa Chawa wasioweza kuthibitisha vyanzo vya mapato yao.

Soma Pia: Makonda: Dereva wangu alikuwa anafunga namba za RC DSM na kutapeli watu

Naomba mwenye picha na majina huyu mwamba atuwekee hapa tumfahamu lakini pia isaidie vyombo vya habari kumhoji kubalance story kama ni kweli au la. Je, bado anafanya kazi serikalini? Ameacha kutapeli? Aliwezaje kuwa na carrage hii au alisoma mchezo akabaini watu wanapiga dili lakini apati mgao?
 
Makonda jizi jinga. Halijui hata kudanganya, hakuna dereva wala conductor.

Makonda mwenyewe alikuwa anatapeli watu.
 
Ilivyo tabia ya mfalme ndivyo ilivyo tabia ya wafuasi wake.

Huyu dereva alikuwa anatumwa
 
RC Arusha amedai Dreva wake alikuwa akitumia gari la RC kutapeli watu apewe pesa. Lakini hakuna Sehemu alimtaja kwa jina na wala sijawahi kusikia muhusika akifikishwa mahakamani. Waliotapeliwa nao pia wameendelea kukaa kimya maana yake walikubali kutapeliwa au na wao walikuwa Chawa wasioweza kuthibitisha vyanzo vya mapato yao

Naomba mwenye picha na majina huyu mwamba atuwekee hapa tumfahamu lakini pia isaidie vyombo vya habari kumhoji kubalance story kama ni kweli au la. Je, bado anafanya kazi serikalini? Ameacha kutapeli? Aliwezaje kuwa na carrage hii au alisoma mchezo akabaini watu wanapiga dili lakini apati mgao?
Bashite ni muongomuongo daima.Huyo anayemuita dereva hakufanya hayo.Anatafuta kwa kujifichia wizi wake.Kwa kupenda kwake sifa lazima tungejua tu.Angemdhalilisha.
 
RC Arusha amedai Dreva wake alikuwa akitumia gari la RC kutapeli watu apewe pesa. Lakini hakuna Sehemu alimtaja kwa jina na wala sijawahi kusikia muhusika akifikishwa mahakamani. Waliotapeliwa nao pia wameendelea kukaa kimya maana yake walikubali kutapeliwa au na wao walikuwa Chawa wasioweza kuthibitisha vyanzo vya mapato yao

Naomba mwenye picha na majina huyu mwamba atuwekee hapa tumfahamu lakini pia isaidie vyombo vya habari kumhoji kubalance story kama ni kweli au la. Je, bado anafanya kazi serikalini? Ameacha kutapeli? Aliwezaje kuwa na carrage hii au alisoma mchezo akabaini watu wanapiga dili lakini apati mgao?
Makonda mwongo, hayo ni mapigo yake mwenyewe kama ni kweli huyo dereva alikuwa anafanya hayo kwa nini hajachukuliwa hatua za kisheria? Makonda anafikri watu wote ni zero brain kama yeye.
 
Mkuu achana na hii kitu, wakijitokeza walioporwa mali zao na wakimtaja 'mhusuka" utacheka ufe!
 
RC Arusha amedai Dreva wake alikuwa akitumia gari la RC kutapeli watu apewe pesa. Lakini hakuna Sehemu alimtaja kwa jina na wala sijawahi kusikia muhusika akifikishwa mahakamani. Waliotapeliwa nao pia wameendelea kukaa kimya maana yake walikubali kutapeliwa au na wao walikuwa Chawa wasioweza kuthibitisha vyanzo vya mapato yao

Naomba mwenye picha na majina huyu mwamba atuwekee hapa tumfahamu lakini pia isaidie vyombo vya habari kumhoji kubalance story kama ni kweli au la. Je, bado anafanya kazi serikalini? Ameacha kutapeli? Aliwezaje kuwa na carrage hii au alisoma mchezo akabaini watu wanapiga dili lakini apati mgao?
Hakuna kitu kama hicho dereva atapeli kwa muda mrefu bila Makonda kujua. Ningeamini kama Makonda angemchukulia hatua za nidhamu lakini no uongo ulio wazi eti alitambua baada ya kutoka kwenye URC.
Huo ni mchezo wa kuigiza anaofanya Makonda kwani hao waliotapeliwa wasingekaa kimya bila kuwasiliana naye kujua mzigo amepata hapo bomu lingelipuka. Dereva alichokuwa anafanya ni kwa maagizo ya Makonda
 
Jinai ya wazi kabisa hii! Kama tungekuwa na sheria makini, mpaka muda huu ukweli ungekuwa umeshajulikana mahakamani.
 
Mahali anapostahili kuwa Makonda kwa sasa ni jela akisubiri kunyongwa hadi afe.
 
Back
Top Bottom