Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Yupo huku Tanganyika anakula migebuka,Habari!
Naomba yeyote mwenye update za ndugu yetu Kamanda mzalendo Lengai Ole Sabaya alipo na afya yake atujuze tafadhari.
Shukrani
πππ
Wadiz
Unataka kuwa mke wake?Habari!
Naomba yeyote mwenye update za ndugu yetu Kamanda mzalendo Lengai Ole Sabaya alipo na afya yake atujuze tafadhari.
Shukrani
πππ
Wadiz
Vipi alikubaka?Sabaya alibaka wake za watu, alikata masikio alipora na kuua.
Mwisho wake bado haujafika ni swala la muda ila KARMA IS REAL!!!!
Mwisho wake na malipo ya matendo yake waja, na amini wakati haukawiiii
Kama ni kweli basi hafai, kama si kweli hakuna kitakachompataSabaya alibaka wake za watu, alikata masikio alipora na kuua.
Mwisho wake bado haujafika ni swala la muda ila KARMA IS REAL!!!!
Mwisho wake na malipo ya matendo yake waja, na amini wakati haukawiiii
OhooHabari!
Naomba yeyote mwenye update za ndugu yetu Kamanda mzalendo Lengai Ole Sabaya alipo na afya yake atujuze tafadhari.
Shukrani
[emoji120][emoji120][emoji120]
Wadiz
Ulongupahunger mfyeleUnataka akupe dili au uwe chawa wake.?.
Yaani unahangaika kujua alipo mtu asiye na utu na issue kama huyo wa kazi gani sasa?
Kama una njaa ya pesa sema/weka namba tufanye muamala.
Mwisho wake bado haujafika ni swala la muda ila KARMA IS REAL!!!![emoji419][emoji375]Sabaya alibaka wake za watu, alikata masikio alipora na kuua.
Mwisho wake bado haujafika ni swala la muda ila KARMA IS REAL!!!!
Mwisho wake na malipo ya matendo yake waja, na amini wakati haukawiiii
Alishikishwa ukuta Sana pale kisongo Sasa ni muda wa kutibu kinyeoGeneral Lengai Sabaya yuko nyumbani kwao Shambasha huko Olmotonyi wilaya ya Arumeru
Sent using Jamii Forums mobile app