kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Onyo
Pengine limepelekea ukimya
Pengine limepelekea ukimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi unataka kumuua?Mwisho wake bado haujafika ni swala la muda ila KARMA IS REAL!!!![emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ondoa neno "Mzalendo",haraka sana .Habari!
Naomba yeyote mwenye update za ndugu yetu Kamanda mzalendo Lengai Ole Sabaya alipo na afya yake atujuze tafadhari.
Shukrani
[emoji120][emoji120][emoji120]
Wadiz
Cha ajabu,mleta uzi anamuita Mzalendo.Mleta uzi fala sana.Sabaya alibaka wake za watu, alikata masikio alipora na kuua.
Mwisho wake bado haujafika ni swala la muda ila KARMA IS REAL!!!!
Mwisho wake na malipo ya matendo yake waja, na amini wakati haukawiiii
Wewe Utakuwa Unajua mengi Kuhusu huyu Jamaa aliyetumia vibaya nafasi yake(Misuse of Public Office).Ni mapema sana kuandika unayotaka tuyajue. Ila muda ni hakimu mzuri tu. Sheria ya mitandao 2015 inanizuia kuendelea baada ya nukta hii.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Habari!
= tafadhalitafadhari.
🙏🙏🙏
Wadiz
Mzalendo WA NN?Habari!
Naomba yeyote mwenye update za ndugu yetu Kamanda mzalendo Lengai Ole Sabaya alipo na afya yake atujuze tafadhari.
Shukrani
[emoji120][emoji120][emoji120]
Wadiz
Alirudiashiwa mbowe pale, au ndiyo imetoka hiyo.Atajua umuhimu wa mwendazake , Anapalilia mashamba ya Mbowe Yale aliyongoa pilipili Jojo akimaliza ataenda dar kubebe zege la kujenga bilicana club ya Mbowe
Nadhani ndio maana jamaa kauliza ila sidhani kama zina ukweli tungepata taarifa...Mbona kuna tetesi zimeanza kuzagaa tangu saa nne asubuhi kumhusu...🙄