Mwenye taarifa za uhakika kuhusu ajira za ualimu ambazo usaili ulisitishwa, atujulishe hapa.

Mwenye taarifa za uhakika kuhusu ajira za ualimu ambazo usaili ulisitishwa, atujulishe hapa.

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Baada ya taarifa ya kusitishwa zoezi la usaili kwa kada ya ualimu, hakuna taarifa nyingine ambayo imetolewa na mamlaka husika juu ya nini kitafata au kama utaratibu wa namna ya kuwapata walimu hao utabadilika. Najuwa Jamii Forum ni jukwaa lililosheheni watu kutoka vitengo mbalimbali na pengine wapo wenye taarifa za uhakika za nini kinafata.

Please mwenye taarifa za uhakika tunaomba usaidie kutupa mwangaza ili tujiandae kwa wakati unaofaa na usiofaa.
Karibuni
 
Mimi nadhani labda wanasubiri uchaguzi wa serikali za mitaa upite au wanaweza kufanya mwakani kabisa ili watakao pata wakumbuke kurudisha fadhila kwenye boksi la kura 2025
 
Mimi nadhani labda wanasubiri uchaguzi wa serikali za mitaa upite au wanaweza kufanya mwakani kabisa ili watakao pata wakumbuke kurudisha fadhila kwenye boksi la kura 2025
Ajira na uchaguzi wa wenyeviti wa mtaa hakuna uhusiano
 
Baada ya taarifa ya kusitishwa zoezi la usaili kwa kada ya ualimu, hakuna taarifa nyingine ambayo imetolewa na mamlaka husika juu ya nini kitafata au kama utaratibu wa namna ya kuwapata walimu hao utabadilika. Najuwa Jamii Forum ni jukwaa lililosheheni watu kutoka vitengo mbalimbali na pengine wapo wenye taarifa za uhakika za nini kinafata.

Please mwenye taarifa za uhakika tunaomba usaidie kutupa mwangaza ili tujiandae kwa wakati unaofaa na usiofaa.
Karibuni
Una GPA ya 3.0+??
 
Baada ya taarifa ya kusitishwa zoezi la usaili kwa kada ya ualimu, hakuna taarifa nyingine ambayo imetolewa na mamlaka husika juu ya nini kitafata au kama utaratibu wa namna ya kuwapata walimu hao utabadilika. Najuwa Jamii Forum ni jukwaa lililosheheni watu kutoka vitengo mbalimbali na pengine wapo wenye taarifa za uhakika za nini kinafata.

Please mwenye taarifa za uhakika tunaomba usaidie kutupa mwangaza ili tujiandae kwa wakati unaofaa na usiofaa.
Karibuni
Wenye taarifa za uhakika wamekatazwa kutumia Jamii forum. Hivyo endelea kuwa mvumilivu na utembelee website ya prsr mara kwa mara.
 
Wa kujitolea ndii wanasababisha kutokuwepo kwa uhitaji.


Pia suala la ajira linakuwa reserve kwa ajili ya kampeni za uchaguzi. Endapo wapinzani wakipiga msumari kuhusu ukosefu wa ajira ndio muda huo ccm wanafanya comeback ya kutangaza ajira nyingi ili kubalance mashambulizi ya wapinzani kuhusu ukosefu wa ajira Erythrocyte chadema pigeni misumari kuhusu hali ngumu ya kiuchumi na ukosefu wa ajira.
 
Wa kujitolea ndii wanasababisha kutokuwepo kwa uhitaji.


Pia suala la ajira linakuwa reserve kwa ajili ya kampeni za uchaguzi. Endapo wapinzani wakipiga msumari kuhusu ukosefu wa ajira ndio muda huo ccm wanafanya comeback ya kutangaza ajira nyingi ili kubalance mashambulizi ya wapinzani kuhusu ukosefu wa ajira Erythrocyte chadema pigeni misumari kuhusu hali ngumu ya kiuchumi na ukosefu wa ajira.
Hapana chadema msipush agenda ya ajira mitanzania aina shukrani waacheni wanyoke kwanza
 
Back
Top Bottom