Mkuu Aroon je ni kweli kuwa engine za magari madogo kama vitz, ist, yaani vvti engine ambazo zina cc 1,300 na ambazo ni 2sz haziwezi kufanyiwa overhaul? nauliza hivi maana mafundi wengi ukiwapelekea gari za aina hii mathalani kwenye engine labda kuna kelele sana wao huishia kushauri "kanunue engine nyingine ifungwe, engine za vvti hazifanyiwi overhaul, hata ukifanya ubora wake utakuwa duni sana!Mwenye swali au maswali kuhusu Magari ,kuanzia mifumo yote SUSPENSION SYSTEM,COOLING SYSTEM,BRAKE SYSTEM,STEARING SYSTEM ,ENGINE
Uliza hapa ujibiwe
Niko na gari langu nilikua naendesh mara likazima ghafla Barabarani, wakasema sensor ya pedal imekufa ila wakaunga umeme direct. Nini prospective effects kama sitafunga sensor mapemaMwenye swali au maswali kuhusu Magari ,kuanzia mifumo yote SUSPENSION SYSTEM,COOLING SYSTEM,BRAKE SYSTEM,STEARING SYSTEM ,ENGINE
Uliza hapa ujibiwe
Usijar mkuu nitakuja kukujibu kitaalamu zaidi,nipo kazin kwa muda huuMkuu Aroon je ni kweli kuwa engine za magari madogo kama vitz, ist, yaani vvti engine ambazo zina cc 1,300 na ambazo ni 2sz haziwezi kufanyiwa overhaul? nauliza hivi maana mafundi wengi ukiwapelekea gari za aina hii mathalani kwenye engine labda kuna kelele sana wao huishia kushauri "kanunue engine nyingine ifungwe, engine za vvti hazifanyiwi overhaul, hata ukifanya ubora wake utakuwa duni sana!
BrathaNa hili wengi mafund wa mtaani hawalijui, zaidi wanabuni au wanahisi tatizo ni VVTI, Ila tatizo la CHECK ENGINE kuwaka huwa ni gas cap kuwa loose hivo hufanya mafuta ku evaporate,
Hivo badilisha kama kimeharibika
Bro acha kukurupuka, nimeeleza sababu za tatizo lake ,ila nikampa sababu kuu, akishindwa ajeBratha
Bila kuifanyia gari diagnosis mwenyewe n vikamilifu, waezaje jua ni gas cap? Check Engine Light huwaka juu ya gas cap pekee?
Samahani bro, lakini wapotosha kazi na fani inayostahili kuheshimika na kuendelezwa kw ukweli na uungwana.
Ingewezekana kuyatatua matatizo ya magari unavyodai, waunda magari na mifumo wangalikua tayari wana "helplines" hulsusan kuwaskiza wenye magari kw simu tu.
Gari; au hata mifumo kana generator na mifumo mingine, inahusisha mkusanyiko na maunganisho ya sehemu, mifumo na viungo tofauti na kadha wa kadha. Ni upotofu mbaya kudhania waeza jua tatizo bila kuhoji mkusanyiko huu kwa makini.
Nakutolea mfano wa makosa yako:
Umemweleza bro alieuliza swali kuhusu CEL (Check Engine Light) kua tatizo lake ni gas cap. Licha yake kueleza kua diagnosis ilisoma Fault Code ya mfumo wa VVTI - sensor yake, na pia alivyoelezwa kua oil haifanyi mzunguko sawa kwa engine; wewe unasema tatizo ni gas cap.
System ya VVTI hutumia mskumo wa oil kufanya mambo yake (uliyomtajia OP bila kutoa maelezo yeyote kuandamana). Kwa hivyo maelezo ya fundi wake kua mzunguko(mskumo?) wa oil hauko sawa ndio yako sahihi. Issue ya gas cap haiwezi dhuru/tatiza mfumo wa VVTI ila system ya mafuta, na hapa pia inategemea muundo wa system (kama ni return-less fuel circuit) au la.
So kaka, tafadhali, TAFADHALI waacha kuufanya ufundi kua siasa au mchezo. Mengi yako mtandaoni (google) lakini sio kumaanisha google ni chief mechanic.
Ni hayo tu kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naongezea ,sio kila tatizo la gari lazima ulifanyie Car diagnosis ndio ujueBratha
Bila kuifanyia gari diagnosis mwenyewe n vikamilifu, waezaje jua ni gas cap? Check Engine Light huwaka juu ya gas cap pekee?
Samahani bro, lakini wapotosha kazi na fani inayostahili kuheshimika na kuendelezwa kw ukweli na uungwana.
Ingewezekana kuyatatua matatizo ya magari unavyodai, waunda magari na mifumo wangalikua tayari wana "helplines" hulsusan kuwaskiza wenye magari kw simu tu.
Gari; au hata mifumo kana generator na mifumo mingine, inahusisha mkusanyiko na maunganisho ya sehemu, mifumo na viungo tofauti na kadha wa kadha. Ni upotofu mbaya kudhania waeza jua tatizo bila kuhoji mkusanyiko huu kwa makini.
Nakutolea mfano wa makosa yako:
Umemweleza bro alieuliza swali kuhusu CEL (Check Engine Light) kua tatizo lake ni gas cap. Licha yake kueleza kua diagnosis ilisoma Fault Code ya mfumo wa VVTI - sensor yake, na pia alivyoelezwa kua oil haifanyi mzunguko sawa kwa engine; wewe unasema tatizo ni gas cap.
System ya VVTI hutumia mskumo wa oil kufanya mambo yake (uliyomtajia OP bila kutoa maelezo yeyote kuandamana). Kwa hivyo maelezo ya fundi wake kua mzunguko(mskumo?) wa oil hauko sawa ndio yako sahihi. Issue ya gas cap haiwezi dhuru/tatiza mfumo wa VVTI ila system ya mafuta, na hapa pia inategemea muundo wa system (kama ni return-less fuel circuit) au la.
So kaka, tafadhali, TAFADHALI waacha kuufanya ufundi kua siasa au mchezo. Mengi yako mtandaoni (google) lakini sio kumaanisha google ni chief mechanic.
Ni hayo tu kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu gari halina mfumo unaoitwa GENERATOR ,Bratha
Bila kuifanyia gari diagnosis mwenyewe n vikamilifu, waezaje jua ni gas cap? Check Engine Light huwaka juu ya gas cap pekee?
Samahani bro, lakini wapotosha kazi na fani inayostahili kuheshimika na kuendelezwa kw ukweli na uungwana.
Ingewezekana kuyatatua matatizo ya magari unavyodai, waunda magari na mifumo wangalikua tayari wana "helplines" hulsusan kuwaskiza wenye magari kw simu tu.
Gari; au hata mifumo kana generator na mifumo mingine, inahusisha mkusanyiko na maunganisho ya sehemu, mifumo na viungo tofauti na kadha wa kadha. Ni upotofu mbaya kudhania waeza jua tatizo bila kuhoji mkusanyiko huu kwa makini.
Nakutolea mfano wa makosa yako:
Umemweleza bro alieuliza swali kuhusu CEL (Check Engine Light) kua tatizo lake ni gas cap. Licha yake kueleza kua diagnosis ilisoma Fault Code ya mfumo wa VVTI - sensor yake, na pia alivyoelezwa kua oil haifanyi mzunguko sawa kwa engine; wewe unasema tatizo ni gas cap.
System ya VVTI hutumia mskumo wa oil kufanya mambo yake (uliyomtajia OP bila kutoa maelezo yeyote kuandamana). Kwa hivyo maelezo ya fundi wake kua mzunguko(mskumo?) wa oil hauko sawa ndio yako sahihi. Issue ya gas cap haiwezi dhuru/tatiza mfumo wa VVTI ila system ya mafuta, na hapa pia inategemea muundo wa system (kama ni return-less fuel circuit) au la.
So kaka, tafadhali, TAFADHALI waacha kuufanya ufundi kua siasa au mchezo. Mengi yako mtandaoni (google) lakini sio kumaanisha google ni chief mechanic.
Ni hayo tu kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri check kama TURBO ACTUATOR PIPE Kama imekazwa vizuri ,angalia hizo rubber pia angalia je haipo loose,Mimi engine ya gari langu turbo haifungui ninini shida na itatatuliwaje ni mitsubish L 200
Sio kweli kwamba huwez kuifanyia overhaul , ila kuna asilimia kubwa ikapoteza uwezo wake kama wa awali, ndio maana unashauriwa ununue nyingineMkuu Aroon je ni kweli kuwa engine za magari madogo kama vitz, ist, yaani vvti engine ambazo zina cc 1,300 na ambazo ni 2sz haziwezi kufanyiwa overhaul? nauliza hivi maana mafundi wengi ukiwapelekea gari za aina hii mathalani kwenye engine labda kuna kelele sana wao huishia kushauri "kanunue engine nyingine ifungwe, engine za vvti hazifanyiwi overhaul, hata ukifanya ubora wake utakuwa duni sana!
'... usikimbilie diagnosis, ..'Bro acha kukurupuka, nimeeleza sababu za tatizo lake ,ila nikampa sababu kuu, akishindwa aje
Halafu usikimbilie diagnosis,
Diagnosis inaweza kukupa fault ni flani, ukalifanyia kazi ,tatizo likabaki pale pale kama alivyosema jamaa hapo juu kuhusu pump yake ,tatizo ndio limezidi
Mimi ni mechanical engineer niliyebobea katika Automotive engineering, hivo siongei siasa ndio maana natoa na suluhisho akishindwa aje ,
Tuheshimiane mkuu, hii ni taaluma yangu
Bro acha kukurupuka, nimeeleza sababu za tatizo lake ,ila nikampa sababu kuu, akishindwa aje
Halafu usikimbilie diagnosis,
Diagnosis inaweza kukupa fault ni flani, ukalifanyia kazi ,tatizo likabaki pale pale kama alivyosema jamaa hapo juu kuhusu pump yake ,tatizo ndio limezidi
Mimi ni mechanical engineer niliyebobea katika Automotive engineering, hivo siongei siasa ndio maana natoa na suluhisho akishindwa aje ,
Tuheshimiane mkuu, hii ni taaluma yangu
Nikweli wapo sahihi, kwa dunia ya sasa FUEL INJECTOR ni bora zaidi kuliko CARBURETOR, hivo kama unaweza fata ushauri wakuweka engine ya FUEL INJECTOR, ili kusolve hizo problem ,ikiwapo ya fuel consuptionGari yangu ni aina ya Hilux double cabin na engine yake ni 2L petrol, kinachonitesa kila mara ni carburettor , mara naambiwa ime float, mara naambiwa uchafu. ...mafundi wananishauri nibadilishe engine, niweke ya aina hiyo hiyo ila yenye injection, wazo hili ni sahihi na engine hizo kweli zinapatikana? Naomba ushauri wako mkuu maana nimeteseka sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu, km upo Dar naomba namba yako pm tuwasiliane zaidiNikweli wapo sahihi, kwa dunia ya sasa FUEL INJECTOR ni bora zaidi kuliko CARBURETOR, hivo kama unaweza fata ushauri wakuweka engine ya FUEL INJECTOR, ili kusolve hizo problem ,ikiwapo ya fuel consuption
Ni wazi hapa kua huelewi unachosema. Nilivyosema niHalafu gari halina mfumo unaoitwa GENERATOR ,
Halafu gari halina mfumo unaoitwa GENERATOR ,
Halafu gari halina mfumo unaoitwa GENERATOR ,
Naelewa ulitaka kumaanisha alternator, sasa unazungumzia miaka ya 60s ? Hapa tunazungumzia magari ya kisasa ya karne hii, pia sijaleta ugomvi, kama unataka kuongezea kitu, tumia lugha nzuri. ,Ni wazi hapa kua huelewi unachosema. Nilivyosema ni
' Gari, AU HATA MIFUMO KANA/KAMA GENERATOR NA MIFUMO MINGINE. '
Generator ni mfumo kama vile gari unatumia engine na viungo vingine kama gari, compressor pia ni mfumo.
Pia, kabla ya alternator, magari yalikua yakitumia generators. Nenda uangalie Volkswagen na Mini za miaka ya sitini. Umelijua hilo leo? Alternator, just being technical and precise, is a generator that produces an Alternating Current hence the name Alternator.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vema uchangie na usaidie watu kuliko kuleta dharau.Bw AROON
Sio kuleta ugomvi au kutafuta maneno. Nisamehe kw kuangazia ninayojua sio sahihi.
Sorry to rock your boat and all the best!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kw kuvuruga uzi! Halitafanyika tenaNi vema uchangie na usaidie watu kuliko kuleta dharau.
Mimi hapa sipo kuhitaji hata shiling mia ya mtu, nipo kutoa kile kichopo akilini mwangu baada ya kuisomea hii taaluma. ,hivo kama kuna kitu changia sio kuanza KUVURUGA UZI
Haileti maana ,
thanks for Ur support, Mungu akubariki! hyo gas treatment naweza kununua na kufanya tu mwenyewe ili kusafisha tank? naomba unieleweshe hapa piaSababu kuu chache za awali ninazozijua zinazofanya car engine kumissfire ni
Uchafu kwenye fuel injector hii husababisha cylinder zisipokee mafuta(AIR-FUEL MIXTURE) ya kutosha, Chakufanya i chek na uirun injector cleaner, Pia sababu nyingine
Ni kufeli kwa spark plug, na hili ni tatizo gumu kulitambua kwa duagnosis hasa pale waya za kwenye spark plug zinapokuwa failed .
Hapa ushauri wa bure ni kubadili spark plug.
Kuhusu Fuel treatment ni elewavyo ni kuongeza NGUVU au power ya engine, pia kupunguza gas mbalimbali baada ya mafuta kuungua
Ni hayo tu mkuu