Mwenye TV inchi 15 aje inbox kuna elfu 50 mfuko wa shati hapa

Mwenye TV inchi 15 aje inbox kuna elfu 50 mfuko wa shati hapa

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Wazee mambo yasiwe mengi saaasa! Mi sichekeshi

Ninhitaji tv ya nchi 15, godoro la elfu 25 ikiwezakana na Chumba cha kupanga elfu 20 cha umeme nalipa miez miwili

Napendelea sana mabwepande mpaka kunduchi, madale na sehem zingine zinazofanana na hizo ila isiwe goba tu

Kuna hela hapa haina kazi
 
Wazee mambo yasiwe mengi saaasa! Mi sichekeshi

Ninhitaji tv ya nchi 15, godoro la elfu 25 ikiwezakana na Chumba cha kupanga elfu 20 cha umeme nalipa miez miwili

Napendelea sana mabwepande mpaka kunduchi, madale na sehem zingine zinazofanana na hizo ila isiwe goba tu

Kuna hela hapa haina kazi
Mkuu, ukikosa godoro la 25,000 nunua vile vigodoro wanavyotengenezea sofa, kwa budget hiyo nafikiri kitakufaa.🤝🤝
 
Wazee mambo yasiwe mengi saaasa! Mi sichekeshi

Ninhitaji tv ya nchi 15, godoro la elfu 25 ikiwezakana na Chumba cha kupanga elfu 20 cha umeme nalipa miez miwili

Napendelea sana mabwepande mpaka kunduchi, madale na sehem zingine zinazofanana na hizo ila isiwe goba tu

Kuna hela hapa haina kazi
Mkuu kwa maisha hayo si umekuja tu kutubana huku mjini? Bora ungekaa tu kijijini!
 
Back
Top Bottom