Mwenye uelewa atoe ufafanuzi hapa

Mwenye uelewa atoe ufafanuzi hapa

FundiNgoma

Senior Member
Joined
Dec 26, 2019
Posts
136
Reaction score
273
Ni kuhusu upandishaji wa vyeo kwa watumishi wa umma unaoendelea mwaka huu,ni kazi nzuri ya serikali yetu kongole sana Rais wetu..

Swali ni je kuna watumishi walioko masomoni mpaka sasa vipi nao wanapanda?
Na kama hawapandi wakirudi kazini wakija kupanda cheo si watazidiwa muda wa cheo na wenzao walioajiriwa pamoja?

Au ufafanuzi upoje hapo kwa anae elewa......
 
Huu upandishaji Una vihoja vyake, taasisi moja wanaostahili 22 wanapandishwa kadhaa, wengine kimya. Ukiuliza unaambiwa mfumo unapandisha watu kwa awamu.
 
Back
Top Bottom