Pia angalia kama mzunguko wa maji katika injini uko sawa hasa water pump,na pia kagua kama rejeta haiko clogged labda na matope,au kama mzunguko wa oil uko sawa hasa oil filter kama ni nzuri /pump kama haina tatizo,kwa ujumla angalia cooling system
Themostat inatakiwa kufunguka kuruhusu maji yaingie kupoza injini na kufunga,kama ina tatizo la kujifungua kuruhusu maji ya kupoza engine basi lazima itachemsha,
Jipoge pige uende kwenye gereji nzuri kabla hujaunguza injini