Yapata miezi mi3 sasa gari langu linatatizo ya engine kupandisha joto, ni Toyota spacio hii ilitokea baada ya kubadilisha rejeta ikawa unapotembea kama umbali wa 45 au 40km unaona inatokea alarm ya high temperature ktk dash board.
Nikaipeleka kwa fundi tena akasema tubadilishe mfuniko wa rejeta ok tukabadilisha tatizo likawa linaendelea, nikampelekea tena akasema tubadilishe sensor ya temperature ok tukabadilisha lakni tatizo bado linaendelea sasa.
Je mwenye ujuzi gari langu lina tatizo gani?
Nikaipeleka kwa fundi tena akasema tubadilishe mfuniko wa rejeta ok tukabadilisha tatizo likawa linaendelea, nikampelekea tena akasema tubadilishe sensor ya temperature ok tukabadilisha lakni tatizo bado linaendelea sasa.
Je mwenye ujuzi gari langu lina tatizo gani?