M mabasso JF-Expert Member Joined Oct 16, 2022 Posts 1,263 Reaction score 2,378 Feb 3, 2023 #1 Wakuu kuna hii biashara ya shisha ambayo naona bado haijagunduliwa na wengi haijasambaa sana lakini naona ina wadau wengi (wateja). Kuna mwenye details za hii biashara aweze kushare na sisi tupate uelewa kidogo? Unaweza kuta watu wanajipigia Mihela tukijakushtuka too late. Tunaomba muongozo kwa anayefahamu hii biashara Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wakuu kuna hii biashara ya shisha ambayo naona bado haijagunduliwa na wengi haijasambaa sana lakini naona ina wadau wengi (wateja). Kuna mwenye details za hii biashara aweze kushare na sisi tupate uelewa kidogo? Unaweza kuta watu wanajipigia Mihela tukijakushtuka too late. Tunaomba muongozo kwa anayefahamu hii biashara Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Dormant Account JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 11,308 Reaction score 32,757 Feb 3, 2023 #2
Gily Gru JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 8,632 Reaction score 23,673 Feb 3, 2023 #3 Hii kitu ikoje?
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Feb 3, 2023 #4 Shisha ni bange iliyo wekewa harufu nzuri baada ya kuchakatwa
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Feb 3, 2023 #5 Wengine hii kitu tulishaijua miaka 10 iliiyopita Kabla haijavamiwa Ova
spidernyoka JF-Expert Member Joined Jan 2, 2020 Posts 7,557 Reaction score 20,477 Feb 3, 2023 #6 mrangi said: Wengine hii kitu tulishaijua miaka 10 iliiyopita Kabla haijavamiwa Ova Click to expand... Bora nyie wakuu sio madem wa siku izi na madogo wa vyuo wanaovuta wanatoa kwenye mapua na kuweka status tu
mrangi said: Wengine hii kitu tulishaijua miaka 10 iliiyopita Kabla haijavamiwa Ova Click to expand... Bora nyie wakuu sio madem wa siku izi na madogo wa vyuo wanaovuta wanatoa kwenye mapua na kuweka status tu
ChickMagnet JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 2,676 Reaction score 3,451 Feb 3, 2023 #7 Wanapiga hela sana . Mfano tu Wavuvi Kempu shisha ni laki moja
A al karim Member Joined Aug 13, 2011 Posts 51 Reaction score 63 Feb 4, 2023 #8 Chupa moja (mtambo) unauzwa 150,000 inputs zinauzwa 3000 ww unauza 20,000 mpaka 25,000 so faida ni kuanzia 17,000 mpaka 22000 kwa muuzo mmoja
Chupa moja (mtambo) unauzwa 150,000 inputs zinauzwa 3000 ww unauza 20,000 mpaka 25,000 so faida ni kuanzia 17,000 mpaka 22000 kwa muuzo mmoja