Wakuu kuna hii biashara ya shisha ambayo naona bado haijagunduliwa na wengi haijasambaa sana lakini naona ina wadau wengi (wateja).
Kuna mwenye details za hii biashara aweze kushare na sisi tupate uelewa kidogo?
Unaweza kuta watu wanajipigia Mihela tukijakushtuka too late. Tunaomba muongozo kwa anayefahamu hii biashara
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kuna mwenye details za hii biashara aweze kushare na sisi tupate uelewa kidogo?
Unaweza kuta watu wanajipigia Mihela tukijakushtuka too late. Tunaomba muongozo kwa anayefahamu hii biashara
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app