Mwenye uelewa na simu aina ya Sony Exeria XZS

Mwenye uelewa na simu aina ya Sony Exeria XZS

Mr_Plan

Senior Member
Joined
Oct 2, 2021
Posts
140
Reaction score
194
Mwenye Uelewa na simu aina ya Sony Xperia Xzs Atupe review yake

2133018789488 (1).jpg


2133018789488_2.jpg


2133018789488_1.jpg


2133018789488.jpg
 
Xzs imepitwa na wakati sana, labda kama unaipata bei rahisi (chini ya laki na nusu)

Kwa sony Angalau Xz1 kupanda na hizi mpya kama Mark I, Mark II ama Mark III series
 
Xzs imepitwa na wakati sana, labda kama unaipata bei rahisi (chini ya laki na nusu)

Kwa sony Angalau Xz1 kupanda na hizi mpya kama Mark I, Mark II ama Mark III series
Mkuu, Mimi naIfikiria Xperia 5, nini maoni yako bro
 
Nini maana ya mark 1?
Na hii 1m ni 1 million, bei?
Yaani kila mwaka flagship ya Sony yenye umbo dogo inaitwa xperia 5.

Mwaka 2019 ni xperia 5 Mark I
Mwaka 2020 ni xperia 5 mark II
Mwaka 202i ni xperia 5 mark III etc.

So hizo roman numbers zinatofautisha version baina ya mwaka na mwaka.

Na hio 1m ni millioni ndio.
 
Yaani kila mwaka flagship ya Sony yenye umbo dogo inaitwa xperia 5.

Mwaka 2019 ni xperia 5 Mark I
Mwaka 2020 ni xperia 5 mark II
Mwaka 202i ni xperia 5 mark III etc.

So hizo roman numbers zinatofautisha version baina ya mwaka na mwaka.

Na hio 1m ni millioni ndio.
One last question sir,
Am about to take it for $393,
As you opinion, is worth it.?
It has 128 storage capacity..
 
Back
Top Bottom