kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Uzi uishie hapa asitujazie seva. Mkuu asante kwa kumjuzaPichani ni Baba Wa Taifa JK Nyerere na aliyekuwa kiongozi wa PLO Yasser Arafat.
Pembeni wanaopiga makofi ni Rais wa pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi na aliyekuwa Waziri wa mambo ya Nje Salim Ahmed Salim.
Duh una miaka mingapi? Huyo ni the late Yasser ArafatWana Jamvi,
Anayefahamu picha hiyo ilipigwa wapi, lini, kwenye tukio gani, wahusika ni akina nani anisaidie ufafanuzi. Hao ni akina nani, lini na lilikuwa tukio gani.
==Okoa Bandari==
View attachment 2800255
ilipigwa wapi, lini, kwenye tukio gani,
Bado kidogo, tunasubiri majibu zaidiUzi uishie hapa asitujazie seva. Mkuu asante kwa kumjuza
DoneBado kidogo, tunasubiri majibu zaidi
Ohh Ahsante, Nimeona.Picha ilipigwa kwenye mkutano mkuu wa CCM Dodoma Oktoba 1987.
Hongera sasa....tena sana.Pichani ni Baba Wa Taifa JK Nyerere na aliyekuwa kiongozi wa PLO Yasser Arafat.
Pembeni wanaopiga makofi ni Rais wa pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi na aliyekuwa Waziri wa mambo ya Nje Salim Ahmed Salim.
Picha ilipigwa kwenye mkutano mkuu wa CCM Dodoma Oktoba 1987.
muhenga kwenye 1&2Pichani ni Baba Wa Taifa JK Nyerere na aliyekuwa kiongozi wa PLO Yasser Arafat.
Pembeni wanaopiga makofi ni Rais wa pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi na aliyekuwa Waziri wa mambo ya Nje Salim Ahmed Salim.
Picha ilipigwa kwenye mkutano mkuu wa CCM Dodoma Oktoba 1987.
Aaaah jamani hiyo picha hapo hata sijazaliwa mama yangu bado yuko shule. Lolmuhenga kwenye 1&2
Good
Aaaah jamani hiyo picha hapo hata sijazaliwa mama yangu bado yuko shule. Lol
Napenda historia, ndiko ninakojifunzia mengi.
Nipo Mkuu.Nifah upo!
Wanadhani kujua vya zamani mtu ni mzee 😄Aaaah jamani hiyo picha hapo hata sijazaliwa mama yangu bado yuko shule. Lol
Napenda historia, ndiko ninakojifunzia mengi.
Safi sanaPichani ni Baba Wa Taifa JK Nyerere na aliyekuwa kiongozi wa PLO Yasser Arafat.
Pembeni wanaopiga makofi ni Rais wa pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi na aliyekuwa Waziri wa mambo ya Nje Salim Ahmed Salim.
Picha ilipigwa kwenye mkutano mkuu wa CCM Dodoma Oktoba 1987.
Mwenzangu! Imebidi niweke rekodi sawa asijedhani mimi ndio niliipiga hiyo picha! LolWanadhani kujua vya zamani mtu ni mzee 😄
Aliisaliti Tanzania kwa kuungana na Libya kuisaidia Uganda itupige wakati wa vitaPichani ni Baba Wa Taifa JK Nyerere na aliyekuwa kiongozi wa PLO Yasser Arafat.
Picha iliyo kwenye picha ni ya Simba wa kusini.Wana Jamvi,
Anayefahamu picha hiyo ilipigwa wapi, lini, kwenye tukio gani, wahusika ni akina nani anisaidie ufafanuzi.
==Okoa Bandari==
View attachment 2800255
Kumbe Nifah ni wa kitambo, Kongole sanaPichani ni Baba Wa Taifa JK Nyerere na aliyekuwa kiongozi wa PLO Yasser Arafat.
Pembeni wanaopiga makofi ni Rais wa pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi na aliyekuwa Waziri wa mambo ya Nje Salim Ahmed Salim.
Picha ilipigwa kwenye mkutano mkuu wa CCM Dodoma Oktoba 1987.