Mwenye ufafanuzi juu ya picha hii ya Nyerere akiwa na watu wengine akiwemo Rais Mstaafu Mwinyi atujuze

Mwenye ufafanuzi juu ya picha hii ya Nyerere akiwa na watu wengine akiwemo Rais Mstaafu Mwinyi atujuze

Pichani ni Baba Wa Taifa JK Nyerere na aliyekuwa kiongozi wa PLO Yasser Arafat.
Pembeni wanaopiga makofi ni Rais wa pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi na aliyekuwa Waziri wa mambo ya Nje Salim Ahmed Salim.

Picha ilipigwa kwenye mkutano mkuu wa CCM Dodoma Oktoba 1987.
Swali la mwisho,
Kwanini alibeba silaha kiunoni kwenye mkutano, hakua na walinzi? Usalama wa viongozi wengine ulihakikishwaje? Kumbuka kipindi hicho ni nyakati za vuguvugu la ukombozi afrika, ilikuaje akaruhusiwa?
Natanguliza shukrani
 
Swali la mwisho,
Kwanini alibeba silaha kiunoni kwenye mkutano, hakua na walinzi? Usalama wa viongozi wengine ulihakikishwaje? Kumbuka kipindi hicho ni nyakati za vuguvugu la ukombozi afrika, ilikuaje akaruhusiwa?
Natanguliza shukrani
Nimejibu nilikoweza Mkuu, kwa haya sina utaalam nayo.
Asante
 
Nimejibu nilikoweza Mkuu, kwa haya sina utaalam nayo.
Asante
Lol! Watu bwana, wanauliza swali kubwa hivyo utadhani ulikuwepo hapo wakati picha hiyo inapigwa. Pole sana mrembo.

Ova
 
Lol! Watu bwana, wanauliza swali kubwa hivyo utadhani ulikuwepo hapo wakati picha hiyo inapigwa. Pole sana mrembo.

Ova
B… nimekuwa mpole tu, si unajua siku hizi sina makasiriko mie nina raha zangu?

Asante b… Au utanisaidia? Hushindwi jambo, eti?
 
Back
Top Bottom