lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,356
We laki 3 kwa mwezi hyo boss ka huna mishe unasanda...10,000 kwa siku si mbaya kama inaenda na kurudi na unatumia AC ni ya kawaida tu. na hapo haujazima zima barabarani maana si ule uendeshaji wa gari wa kimaskini kwenye folen unazima. inatakiwa gari ukiwasha nyumba na AC utazimia Ofisini. 10,000 si gharama.
Gari hizo inabd uwe na mishe sio salary tu