We nipe namba yake tu nitampokea, ondoa shaka.
Hivi uhamisho inawezekana kweli?Mhamishe tu
Hii ni shule mpya,ipo eneo linaitwa butengwa manispaa ya ShinyangaKuna mtu mwenye ufahamu na hii shule ? Inaonekana ni mpya na mwanangu amepangiwa hapo form five PCM, chakushangaza wenyeji wa manispaa ya shinyanga mjini hawaijui, kama kuna Mwenye uelewa wa sehemu ilipo..na taarifa zizote zitakazosaidia kujua tunwamishe mapema au Laa. Asante.
Ni Shule mpya,niya wasichana pekee.Wengi hawaifahamu kwakua ni mpya.Shinyanga Girls?? ukute kuna shule ya mchanganyiko kwa o level, ila advance ndo wakaamua waweke girls tupu, bas ndo wanachanganya wazazi lol.
Inawezekana ila uandae helaHivi uhamisho inawezekana kweli?
Kuna jirani yangu mwanae kapelekwa korogwe huko shule hata aieleweki
Weka picha yake tumuone huyo kimwaliKuna mtu mwenye ufahamu na hii shule ? Inaonekana ni mpya na mwanangu amepangiwa hapo form five PCM, chakushangaza wenyeji wa manispaa ya shinyanga mjini hawaijui, kama kuna Mwenye uelewa wa sehemu ilipo..na taarifa zizote zitakazosaidia kujua tunwamishe mapema au Laa. Asante.
Wewe ungeuliza korogwe ni miongoni wa shule bora mkoa wa TangaHivi uhamisho inawezekana kweli?
Kuna jirani yangu mwanae kapelekwa korogwe huko shule hata aieleweki
Mkuu, ungeuliza kwanza korogwe girls ni miongoni wa shule bora mkoa wa Tanga na kwa wilaya hiyo wanakimbizana na mazinde juuHivi uhamisho inawezekana kweli?
Kuna jirani yangu mwanae kapelekwa korogwe huko shule hata aieleweki