Van Pauser
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 417
- 420
Ni shule mpya ndo inaanza kupokea wanafunzi kwa mara ya kwanza.... Kuhusu performance ita varie kulingana na jinsi itakavyoanza kufundisha.Kuna mtu mwenye ufahamu na hii shule ? Inaonekana ni mpya na mwanangu amepangiwa hapo form five PCM, chakushangaza wenyeji wa manispaa ya shinyanga mjini hawaijui, kama kuna Mwenye uelewa wa sehemu ilipo..na taarifa zizote zitakazosaidia kujua tunwamishe mapema au Laa. Asante.
Ipo Shinyanga mjini kabisa au ipo kata ipi?Ni shule mpya ndo inaanza kupokea wanafunzi kwa mara ya kwanza.... Kuhusu performance ita varie kulingana na jinsi itakavyoanza kufundisha.
Ipo pembezoni kidogo uelekeo wa old shinyanga....eneo linaitwa butengwa.Ipo Shinyanga mjini kabisa au ipo kata ipi?
Ok,hivi Shycom bado ipo?Ipo pembezoni kidogo uelekeo wa old shinyanga....eneo linaitwa butengwa.
Ukitoka stendi kuu ya shinyanga (manyoni) chukua usafiri Kama ni bajaji au pikipiki za kukodi waambie wakupeleke butengwa kupitia barabara ya old shinyanga halafu halafu wakunje kulia barabara inayoelekea machinjio ya kisasa..shule haiko mbali na barabara ya ya lami ni Kama kilometa mbili na kidogo hivi kabla ya kufika machinjio ya kisasa.
Ukitoka stendi kuu utanyooka na barabara Hadi sheli ya Mo oil utakunja kushoto kuiacha barabara ya mwanza na kuifuata barabara ya old shinyanga, utapita maeneo ya ofisi za ccm wilaya, junction ya mdaduka mengi/stend ya zamani, Japanese corner,stend ya old shinyanga opposite na Kota za polisi,soko la majengo,njiapanda shy park,idara ya maji, bushushu, mwishoni mwa bushushu utaona barabara kubwa ya vumbi imekatisha kulia kwako utaifuata hiyo kwa zaidi ya km 2 utaoiona shule ikiwa na mabati ya kijani, ni shule kubwa nzuri sana kimiundombinu ....
Ni shule mpya bado haijafahamika na wenyeji wengi, usishangazwe na kutojulikana na wenyeji wa pale mjini...kimiundombinu imejitosheleza.
True huku wanaendekeza sana jadi,thus ni wakarimuUsisahau kumpa maji ya Mwamposa, mafuta ya Mwamposa au mafuta ya ngomeni kwa Mwalimu Richard na chumvi ya moto.
Mwaka huu mwanzoni nilikuwepo huko Shinyanga kwa zaidi ya wiki
Umeshanielewa.
Hongera pia kwa kutuandalia next Engineer 🙏
Bado ipoOk,hivi Shycom bado ipo?
Shinyanga MC ni kubwa, nilihitaji information za ndani zaidi kujua kama hapo sehemu panastahili huyu binti akasome hapo, so far kutokana na taarifa za wanachama mbali mbali HAPANA hastahili kwenda kwenye shule za majaribio, nitamtafutia shule Kilimanjaro au Arusha.We ni mzazi kweli!? Mbona inajieleza wazi hapo Shinyanga MC.
Kuna mtu mwenye ufahamu na hii shule ? Inaonekana ni mpya na mwanangu amepangiwa hapo form five PCM, chakushangaza wenyeji wa manispaa ya shinyanga mjini hawaijui, kama kuna Mwenye uelewa wa sehemu ilipo..na taarifa zizote zitakazosaidia kujua tunwamishe mapema au Laa. Asante.
Ile ya tinde inaitwaje?Hii ni shule mpya,ipo eneo linaitwa butengwa manispaa ya Shinyanga
😂Mpigie simu mkuu wa wilaya umuulize hizo ndio kazi ndogo ndogo wanazoweza. Kuendesha bandari hawawezi hata wabunge wamekiri.
Au mpigie afisa elimu (m) shy
Ipo eneo moja linaitwa BUTENGWA ukitokea mjini barabara ya kuelekea Old shinyangaIpo Shinyanga mjini kabisa au ipo kata ipi?
Toka huko ulipo fika mpaka Arusha, then kuna magari ya Kupitia karatu kwenda mbulu akifika mbulu mjini pikipiki 1000/1500 mpaka chief sarwat.....Shule Ina mchanganyiko wa olevel na advanceNaomba na information za SARWATT Secondary, nimeona iko Mbulu....jinsi ya kufika huko[emoji31][emoji31][emoji22]