Mwenye ufahamu na vyuo vinavyotoa degree ya Computer Science

-hujaelewa dhana ya maneno vitu vidogo, hiyo maana yake ni kwamba ni vitu ambayo vinaanza kusomea tangu shule ya msingi au ww primary school hujawahi kufundishwa kuhusu mfecane na majimaji?
- Na ndiyo maana Kuna mahali nikakwambia Kuna Watu wanasoma PhD Kwa kuandika kuhusu hizo vita za mfecane na majimaji au hukuona hiyo paragraph?
 
Naona unazidi kufichua ukilaza wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UDOM,UDSM,DIT ST. JOSEPH nk pia unaweza kusoma hapa course description ya computer science itakauojibu maswali yako kama vile vitu gan utasoma, qualifications and kazi utakazofanya baada ya kumaliza degree yako Bachelor of Science In Computer Science 2022 - TZCAREERS
 
Hiki chuo vipi ? Kikoje hasa kitaaluma kwenye hizo kozi ya ICT?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…