-hujaelewa dhana ya maneno vitu vidogo, hiyo maana yake ni kwamba ni vitu ambayo vinaanza kusomea tangu shule ya msingi au ww primary school hujawahi kufundishwa kuhusu mfecane na majimaji?Hiiiiii eti akili kubwa huwa hatudharau taaluma nyingine, hii dunia ina vitu vinachekesha.
Ona sasa unavyojikanyaga hivyo kuthibitisha ulivyokosa consistency
1-paragraph yakwanza unasema mfecane ni vitu vidogo
2- paragraph ya mwisho akili kubwa eti hamdharau taaluma nyingine!!
Unadhalilisha fani yako ya upima, na sidhani kama ulikaa darasani ukapiga hizo survey unazojikosha....wangelamba kichwa mapema sana, wewe hata maji maji sio size yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
- Na ndiyo maana Kuna mahali nikakwambia Kuna Watu wanasoma PhD Kwa kuandika kuhusu hizo vita za mfecane na majimaji au hukuona hiyo paragraph?