Mwenye ufahamu wa tiba wa ugonjwa wa pua kuziba muda mrefu

Mwenye ufahamu wa tiba wa ugonjwa wa pua kuziba muda mrefu

plock

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2016
Posts
446
Reaction score
474
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mimi ni muhanga wa hili tatizo kwa muda mrefu sana nimetumia dawa ya allerg kama cetirizine imeshindikana mwenye ufahamu ya namna ya kuweza kupona anisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aidha una nyama zimeota puani, halafu dawa ya allergy ni kuepuka kisababishi, sio madonge hayo.

Au, anza na kutibu Minyoo. Halafu endelea mbele zaidi, mimi mwenyewe walinifanya hivyo hao ndugu wapendwa [emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aidha una nyama zimeota puani, halafu dawa ya allergy ni kuepuka kisababishi, sio madonge hayo.

Au, anza na kutibu Minyoo. Halafu endelea mbele zaidi, mimi mwenyewe walinifanya hivyo hao ndugu wapendwa [emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani ndugu naona kuna kitu unaweza ukanishirikisha nami nikarejea kupona au kupata nafuu wewe ulikuwa na tatizo kama langu na ulikuja ukapona kabisa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani ndugu naona kuna kitu unaweza ukanishirikisha nami nikarejea kupona au kupata nafuu wewe ulikuwa na tatizo kama langu na ulikuja ukapona kabisa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nina allergy, ila hiyo shida ilipitiliza mwaka jana, nikaja tumia dozi hiyo hiyo ulopewa haikufanya kitu.

Doc yule yule akaniambia nile dawa za minyoo, wana roho mbaya sana hawa jamaa [emoji3][emoji3] nimemaliza dozi, pua zilizibua.

Ila make sure unaepuka, moshi, marashi, vumbi, upepo mkali, kinyesi cha wadudu, mahala kwenye hewa ndogo, usipende kujikalia ndani muda wote. Kale hewa nje [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nina allergy, ila hiyo shida ilipitiliza mwaka jana, nikaja tumia dozi hiyo hiyo ulopewa haikufanya kitu.

Doc yule yule akaniambia nile dawa za minyoo, wana roho mbaya sana hawa jamaa [emoji3][emoji3] nimemaliza dozi, pua zilizibua.

Ila make sure unaepuka, moshi, marashi, vumbi, upepo mkali, kinyesi cha wadudu, mahala kwenye hewa ndogo, usipende kujikalia ndani muda wote. Kale hewa nje [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana nimepata pakuanzia nitafanya mrejesho baada ya kuitumii hii dawa kesho asubuhi maana nina miaka mingi sijawahi meza dawa ya minyoo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom