Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Nipo kwenye process ya kununua pikipiki na huwa napendelea pikipiki yenye umbo kubwa kiasi, kwa Tanzania hizi shineray ndio zinaonekana cheap, kwa mwenye uzoefu na hizi anijuze, fuel consumption sio tatizo, ningependelea kujua stability price na sehemu ninayoweza kuipata kwa bei nzuri.