Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,435
- 1,192
Mwenyewe ukurasa wowote wa mtandao wa kijamii wa nguri wa Dunia wa utajiri namba 1 wa huyu mwamba anisaidie. Kuna vitu vya kujifunza kwa huyu jamaa asanteni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh, nipatie link mkuuTwitter yupo
mcheki twitter na post zake. Jamaa kaifanya twitter ikose adverts sasa hivi anawashitaki kuwa wale waliokuwa wanatangaza biashara twitter wameungana kutotangaza kwake so anataka walipe fidia.Mwenyewe ukurasa wowote wa mtandao wa kijamii wa nguri wa Dunia wa utajiri namba 1 wa huyu mwamba anisaidie. Kuna vitu vya kujifunza kwa huyu jamaa asanteni.
Wee!mcheki twitter na post zake. Jamaa kaifanya twitter ikose adverts sasa hivi anawashitaki kuwa wale waliokuwa wanatangaza biashara twitter wameungana kutotangaza kwake so anataka walipe fidia.
Ukiwa huna account huezi trace link ukasoma post zake?Twitter, weka tu jina kamili.
Jaribu kucharaza jina lake Google "Elon Musk twitter" kisha fungua.Ukiwa huna account huezi trace link ukasoma post zake?
FreshJaribu kucharaza jina lake Google "Elon Musk twitter" kisha fungua.
NAKAZIA.Ikiwa njaa na dhiki yako haikupi hamasa kutafuta pesa, basi hakuna kiumbe atakumotivate utafute pesa.
Kutafuta ela sio shida yule jamaa ni smart, ko lazima ujifunze kwakeIkiwa njaa na dhiki yako haikupi hamasa kutafuta pesa, basi hakuna kiumbe atakumotivate utafute pesa.