hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Salaam,
Nimenunua gari Zanzibar, Nimeambiwa ushuru wake ni milion 28 kuileta Dar.
Kuna mtu mwingine kanambia naweza kupata punguzo kama nitaongea na TRA na kuandika barua.
Swali langu ni je hilo jambo ni kweli lipo na linawezekana?
Kwa wale watu wenye utaalamu na mambo ya TRA au ambao wamepitia kwenye situation kama yangu
Nimenunua gari Zanzibar, Nimeambiwa ushuru wake ni milion 28 kuileta Dar.
Kuna mtu mwingine kanambia naweza kupata punguzo kama nitaongea na TRA na kuandika barua.
Swali langu ni je hilo jambo ni kweli lipo na linawezekana?
Kwa wale watu wenye utaalamu na mambo ya TRA au ambao wamepitia kwenye situation kama yangu