Mwenye uzoefu na Baypot

Niliishangaa serikali ya mh kikwete kulea haya majini, nilishawahi kulalamika.

labda mzee Magufuli anaona, lkn hadi amtumbue beni, ndulu si wakutuua na wanyonya damu hawa

sio beopoti tu yapo manyangumi mengi
 
nenda ECLOF mkuu.Kwani upo wapi?
 
Nilipata mkopo ndani ya masaa 24. Bayport kiboko na nikimaliza huu niliochukuo mwezi uliopita naenda tena kuchukua 10 m
Hongera bayport
 
Hivi jaman, hata serikali hawa haiwaoni? Maana wako kinyume sana na sheria za riba za nchi yetu. Kila anayecoment analia, kweli ni jipu.
 
Wanakata riba kubwa haijapata kutokea duniani na ahera!!!
 
Chanzo cha mimi kuacha kazi ni bayport nilikopa 4m nikashangaa den linakuja 14m hapohapo nikaacha kaz na kujiajir maana ningekuwa nawafanyia kazi!!
Bayport imesababisha watu wengi sana has a vijana kuacha kazi. Ni shida kubwa hiyo.
 
Nilipata mkopo ndani ya masaa 24. Bayport kiboko na nikimaliza huu niliochukuo mwezi uliopita naenda tena kuchukua 10 m
Hongera bayport
hahaha njooni huku wadau wakala wao amefika kutetea kitumbua
 
Chanzo cha mimi kuacha kazi ni bayport nilikopa 4m nikashangaa den linakuja 14m hapohapo nikaacha kaz na kujiajir maana ningekuwa nawafanyia kazi!!
pole sana mkuu, inauma sana yaani unakopa 4m unalipa 14m haya ni maajabu ya dunia ndiyo maana yanakufa kwa pressure
 
Raha ya bayport uwe na ndugu au watu unaowafahamu pale bila hivyo utaumia,
Riba yao ipo juu ila kama unafahamiana nao riba inakuwa ndogo mno tena sana.................
 
Chanzo cha mimi kuacha kazi ni bayport nilikopa 4m nikashangaa den linakuja 14m hapohapo nikaacha kaz na kujiajir maana ningekuwa nawafanyia kazi!!
Hao ni wezi tena majambazi. Huwa sielewi kwa nini serikali inaruhusu utapeli na wizi wa mchana kweupe kama huu. Iweje ukope 4M na ulipe14M?
 
We we wew jaribu uone makato yao utatoa machozi kama niavyolia Mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…