Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Habarini wakuu, huu uzi kuna member anaitwa Mbwa dume nilimuandikia kama PM ila naona bado sijampata maana alikujaga na uzi wake wa kutangaza majeneza kipindi cha nyuma.
Kwa sababu bado sijampata na mimi nna shida .. ningeomba kusaidiwa baadhi ya taarifa kama ifuatavo kwa yoyote mwenye kujua
1) Bei ya majeneza kwa sasa kwa Dar es salaam Standard ya majeneza ya Kawaida = Tsh ngapi?____________________ Ya medium = Tsh ngapi? __________ na ya matajiri bei ya juu kabisa ni kiasi gani?? _______________________
2) Majeneza yote yanayouzwa Dar es salaam, yanatengenezwa hapa hapa ndani ya nchi ama kuna ya kuagiza nje?
3) Material kuu ya kutengeneza majeneza. Ni mbao zaidi au zile board?
4) Kuna makampuni hapa Dar makubwa yanayotengeneza majeneza ukiacha hawa seremala wadogo wadogo wa mitaani?
5) Ntaomba pia makadirio ya wastani wa gharama ya kutengeneza jeneza moja kwa hapa Dar es salaam.
Kwa sababu bado sijampata na mimi nna shida .. ningeomba kusaidiwa baadhi ya taarifa kama ifuatavo kwa yoyote mwenye kujua
1) Bei ya majeneza kwa sasa kwa Dar es salaam Standard ya majeneza ya Kawaida = Tsh ngapi?____________________ Ya medium = Tsh ngapi? __________ na ya matajiri bei ya juu kabisa ni kiasi gani?? _______________________
2) Majeneza yote yanayouzwa Dar es salaam, yanatengenezwa hapa hapa ndani ya nchi ama kuna ya kuagiza nje?
3) Material kuu ya kutengeneza majeneza. Ni mbao zaidi au zile board?
4) Kuna makampuni hapa Dar makubwa yanayotengeneza majeneza ukiacha hawa seremala wadogo wadogo wa mitaani?
5) Ntaomba pia makadirio ya wastani wa gharama ya kutengeneza jeneza moja kwa hapa Dar es salaam.