Mwenye uzoefu na biashara ya majeneza

Mwenye uzoefu na biashara ya majeneza

Ingekua bora ukiweza kujinunulia jeneza lako ukalihifadhi, binadamu si watu wema hata kidogo. Unaweza kuacha mamilioni ya pesa wakakuzika kwenye jeneza la 150,000 na nyingine wagawane.
Nisaidie bei zake kiongozi
 
Inategemeana unataka kuwa unachonga na kuuza au kununua kwa wachongaji na wewe ukauza kwa mlaji wa mwisho?

Kwanza jua Watz wengi urefu ni ft5 wenye 6 na 7 ni wachache hivyo majeneza yako weka kipimo cha urefu ft 6 na point.

Hii biashara ipo kama ya sigara haina matangazo sana hivyo lazima u target soko lako vizuri.

Nb:unaweza kuongeza hapo hapo na biashara ya kukodisha watu maalum wa kulia misibani.
 
Inategemeana unataka kuwa unachonga na kuuza au kununua kwa wachongaji na wewe ukauza kwa mlaji wa mwisho?

Kwanza jua Watz wengi urefu ni ft5 wenye 6 na 7 ni wachache hivyo majeneza yako weka kipimo cha urefu ft 6 na point.

Hii biashara ipo kama ya sigara haina matangazo sana hivyo lazima u target soko lako vizuri.

Nb:unaweza kuongeza hapo hapo na biashara ya kukodisha watu maalum wa kulia misibani.
Saaa mkuuu kukodisha watu kulia msibaniiii......hii kaliiiiiiii
 
Inategemeana unataka kuwa unachonga na kuuza au kununua kwa wachongaji na wewe ukauza kwa mlaji wa mwisho?

Kwanza jua Watz wengi urefu ni ft5 wenye 6 na 7 ni wachache hivyo majeneza yako weka kipimo cha urefu ft 6 na point.

Hii biashara ipo kama ya sigara haina matangazo sana hivyo lazima u target soko lako vizuri.

Nb:unaweza kuongeza hapo hapo na biashara ya kukodisha watu maalum wa kulia misibani.
Saaa mkuuu kukodisha watu kulia msibaniiii......hii kaliiiiiiii
 
Habarini wakuu, huu uzi kuna member anaitwa Mbwa dume nilimuandikia kama PM ila naona bado sijampata maana alikujaga na uzi wake wa kutangaza majeneza kipindi cha nyuma.

Kwa sababu bado sijampata na mimi nna shida .. ningeomba kusaidiwa baadhi ya taarifa kama ifuatavo kwa yoyote mwenye kujua

1) Bei ya majeneza kwa sasa kwa Dar es salaam Standard ya majeneza ya Kawaida = Tsh ngapi?____________________ Ya medium = Tsh ngapi? __________ na ya matajiri bei ya juu kabisa ni kiasi gani?? _______________________

2) Majeneza yote yanayouzwa Dar es salaam, yanatengenezwa hapa hapa ndani ya nchi ama kuna ya kuagiza nje?

3) Material kuu ya kutengeneza majeneza. Ni mbao zaidi au zile board?

4) Kuna makampuni hapa Dar makubwa yanayotengeneza majeneza ukiacha hawa seremala wadogo wadogo wa mitaani?

5) Ntaomba pia makadirio ya wastani wa gharama ya kutengeneza jeneza moja kwa hapa Dar es salaam.


Nenda Manzese UTAPATA MWONGOVO
 
Inategemeana unataka kuwa unachonga na kuuza au kununua kwa wachongaji na wewe ukauza kwa mlaji wa mwisho?

Kwanza jua Watz wengi urefu ni ft5 wenye 6 na 7 ni wachache hivyo majeneza yako weka kipimo cha urefu ft 6 na point.

Hii biashara ipo kama ya sigara haina matangazo sana hivyo lazima u target soko lako vizuri.

Nb:unaweza kuongeza hapo hapo na biashara ya kukodisha watu maalum wa kulia misibani.
Asante Chief
 
Habarini wakuu, huu uzi kuna member anaitwa Mbwa dume nilimuandikia kama PM ila naona bado sijampata maana alikujaga na uzi wake wa kutangaza majeneza kipindi cha nyuma.

Kwa sababu bado sijampata na mimi nna shida .. ningeomba kusaidiwa baadhi ya taarifa kama ifuatavo kwa yoyote mwenye kujua

1) Bei ya majeneza kwa sasa kwa Dar es salaam Standard ya majeneza ya Kawaida = Tsh ngapi?____________________ Ya medium = Tsh ngapi? __________ na ya matajiri bei ya juu kabisa ni kiasi gani?? _______________________

2) Majeneza yote yanayouzwa Dar es salaam, yanatengenezwa hapa hapa ndani ya nchi ama kuna ya kuagiza nje?

3) Material kuu ya kutengeneza majeneza. Ni mbao zaidi au zile board?

4) Kuna makampuni hapa Dar makubwa yanayotengeneza majeneza ukiacha hawa seremala wadogo wadogo wa mitaani?

5) Ntaomba pia makadirio ya wastani wa gharama ya kutengeneza jeneza moja kwa hapa Dar es salaam.


Daaah biashara zingine kma laana unapata pesa mwisho wa siku unarudi kua hoehahe
 
Back
Top Bottom