and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Nenda vituo vya chanjo ulizia hapoNipatie hizo taarifa mkuu kama unazo.. tutajadili baadae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda vituo vya chanjo ulizia hapoNipatie hizo taarifa mkuu kama unazo.. tutajadili baadae
Nisaidie bei zake kiongoziIngekua bora ukiweza kujinunulia jeneza lako ukalihifadhi, binadamu si watu wema hata kidogo. Unaweza kuacha mamilioni ya pesa wakakuzika kwenye jeneza la 150,000 na nyingine wagawane.
Saaa mkuuu kukodisha watu kulia msibaniiii......hii kaliiiiiiiiInategemeana unataka kuwa unachonga na kuuza au kununua kwa wachongaji na wewe ukauza kwa mlaji wa mwisho?
Kwanza jua Watz wengi urefu ni ft5 wenye 6 na 7 ni wachache hivyo majeneza yako weka kipimo cha urefu ft 6 na point.
Hii biashara ipo kama ya sigara haina matangazo sana hivyo lazima u target soko lako vizuri.
Nb:unaweza kuongeza hapo hapo na biashara ya kukodisha watu maalum wa kulia misibani.
Saaa mkuuu kukodisha watu kulia msibaniiii......hii kaliiiiiiiiInategemeana unataka kuwa unachonga na kuuza au kununua kwa wachongaji na wewe ukauza kwa mlaji wa mwisho?
Kwanza jua Watz wengi urefu ni ft5 wenye 6 na 7 ni wachache hivyo majeneza yako weka kipimo cha urefu ft 6 na point.
Hii biashara ipo kama ya sigara haina matangazo sana hivyo lazima u target soko lako vizuri.
Nb:unaweza kuongeza hapo hapo na biashara ya kukodisha watu maalum wa kulia misibani.
Nenda Manzese UTAPATA MWONGOVOHabarini wakuu, huu uzi kuna member anaitwa Mbwa dume nilimuandikia kama PM ila naona bado sijampata maana alikujaga na uzi wake wa kutangaza majeneza kipindi cha nyuma.
Kwa sababu bado sijampata na mimi nna shida .. ningeomba kusaidiwa baadhi ya taarifa kama ifuatavo kwa yoyote mwenye kujua
1) Bei ya majeneza kwa sasa kwa Dar es salaam Standard ya majeneza ya Kawaida = Tsh ngapi?____________________ Ya medium = Tsh ngapi? __________ na ya matajiri bei ya juu kabisa ni kiasi gani?? _______________________
2) Majeneza yote yanayouzwa Dar es salaam, yanatengenezwa hapa hapa ndani ya nchi ama kuna ya kuagiza nje?
3) Material kuu ya kutengeneza majeneza. Ni mbao zaidi au zile board?
4) Kuna makampuni hapa Dar makubwa yanayotengeneza majeneza ukiacha hawa seremala wadogo wadogo wa mitaani?
5) Ntaomba pia makadirio ya wastani wa gharama ya kutengeneza jeneza moja kwa hapa Dar es salaam.
Asante ChiefInategemeana unataka kuwa unachonga na kuuza au kununua kwa wachongaji na wewe ukauza kwa mlaji wa mwisho?
Kwanza jua Watz wengi urefu ni ft5 wenye 6 na 7 ni wachache hivyo majeneza yako weka kipimo cha urefu ft 6 na point.
Hii biashara ipo kama ya sigara haina matangazo sana hivyo lazima u target soko lako vizuri.
Nb:unaweza kuongeza hapo hapo na biashara ya kukodisha watu maalum wa kulia misibani.
Poa poa mkuuNenda Manzese UTAPATA MWONGOVO
Eh Mkuu Duniani kuna mambo,mbona vikundi vya kulia vipo vingi sana,nenda Buguruni,Vingunguti vipo sana..Saaa mkuuu kukodisha watu kulia msibaniiii......hii kaliiiiiiii
Daaah biashara zingine kma laana unapata pesa mwisho wa siku unarudi kua hoehaheHabarini wakuu, huu uzi kuna member anaitwa Mbwa dume nilimuandikia kama PM ila naona bado sijampata maana alikujaga na uzi wake wa kutangaza majeneza kipindi cha nyuma.
Kwa sababu bado sijampata na mimi nna shida .. ningeomba kusaidiwa baadhi ya taarifa kama ifuatavo kwa yoyote mwenye kujua
1) Bei ya majeneza kwa sasa kwa Dar es salaam Standard ya majeneza ya Kawaida = Tsh ngapi?____________________ Ya medium = Tsh ngapi? __________ na ya matajiri bei ya juu kabisa ni kiasi gani?? _______________________
2) Majeneza yote yanayouzwa Dar es salaam, yanatengenezwa hapa hapa ndani ya nchi ama kuna ya kuagiza nje?
3) Material kuu ya kutengeneza majeneza. Ni mbao zaidi au zile board?
4) Kuna makampuni hapa Dar makubwa yanayotengeneza majeneza ukiacha hawa seremala wadogo wadogo wa mitaani?
5) Ntaomba pia makadirio ya wastani wa gharama ya kutengeneza jeneza moja kwa hapa Dar es salaam.
Una maana gani Mkuu?Daaah biashara zingine kma laana unapata pesa mwisho wa siku unarudi kua hoehahe