Mwenye uzoefu na biashara ya muziki wa Bongo Flava

Mwenye uzoefu na biashara ya muziki wa Bongo Flava

i)Tangaza dau sikiliza watu wengi usikomae na mmoja kisa unajuana nae....
ii)Shirikisha mawazo ya wenzio
Wewe mwenyewe in your bones utamsikia tu yule mtu perfecto

Na hiyo ni part A tu ya kumpata artist
Part B ni kumtoa ndo most challenging....

nimeshaona watu wana pesa (meneja wa jembe fm,meneja wa Tigo Tz) wanapata wasanii wanaojua kuimba kinoma (angalia youtube the jovins kuliko jana)...yani mpaka hapo part A wamefanikiwa 110%

Lakini wanafail part B wamefail pakubwa sana
Mm nashangaaga sana bongo kuna platform kuwa ya kuinuwa wasanii like bss but sijaona record label inakuja kuchukuwa wasanii kule i think ukichukuwa kule utachukuwa mtu ambay tear atakuwa ameshajitangaza pakubwa
 
Mm nashangaaga sana bongo kuna platform kuwa ya kuinuwa wasanii like bss but sijaona record label inakuja kuchukuwa wasanii kule i think ukichukuwa kule utachukuwa mtu ambay tear atakuwa ameshajitangaza pakubwa
Biashara ya mziki Bongo ni Patapotea.
Ndio maana hata hao wakina Mkubwa fela/Salam/Babu tale wanavizia msanii ambaye tayari ameshatengeneza jina wao ndio watamfuata na kumshawishi kufanya naye kazi kwa sababu wanamuona ameshatoboa.
Ila ukisema uanze na msanii from scratch utapoteza hela zako tu maana na washabiki nao wanaenda kwa upepo.
 
Anyway ndugu Sponsor ukishaanza kufanya kazi utanicheki niwe nakuletea vifaa vya mziki kutoka Dubai.
Whatsapp: +971527794329View attachment 2303110View attachment 2303111View attachment 2303112
IMG-20220724-WA0006.jpg
 
Cheki video hapa chini yenye vifaa vyote vya mziki.
Whatsapp: +971527794329
 
Back
Top Bottom