DIKASHWA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 378
- 964
Naomba kujuzwa kuhusu TOYOTA Raum second generation (2004/6) ,nimeingia kwenye mitandao ya kuuza magari Japan kwa USD 1500-1600 ni CIF,nikaingia kwenye kikotozi chetu M5.3na ushee total ikaja kama nane na nusu unaweza kuingia barabarani
Kwa wataalamu wa magari
1) COMMON PROBLEM YA HILI GARI NI IPI
2) Avaibity ya spear zake na bei zake zipoje?
4) kwenye rough road inabehave vipi?
N.B mkuru baada ya kusema hamna nyongeza ya masurufu, nilikuwa naamka saa 10 kuwahi mwendo kasi sasa hamna haja tena ,najilipua japan nichukue mkoko mshahara wote niumalizie kwenye wese,maana hamna namna,
Kwa wataalamu wa magari
1) COMMON PROBLEM YA HILI GARI NI IPI
2) Avaibity ya spear zake na bei zake zipoje?
4) kwenye rough road inabehave vipi?
N.B mkuru baada ya kusema hamna nyongeza ya masurufu, nilikuwa naamka saa 10 kuwahi mwendo kasi sasa hamna haja tena ,najilipua japan nichukue mkoko mshahara wote niumalizie kwenye wese,maana hamna namna,