Mwenye waraka wa CCM kuhusu Rasimu Katiba Mpya

Profesa

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
905
Reaction score
624
Wana JF nautafuta kwa nguvu zote waraka wa CCM kuhusu Rasimu ya Katiba mwenye nao ani PM. Sina uhakika kama ni wa wazi au ni wasiri, maana Mode anaweza akauna wa moto si unajua haya mambo tena?

Ninachokiona humu Jukwaani ni analysis zaidi, na mimi nataka kujiridhisha.
 
Nitafurahi zaidi ukiwekwa wazi, na kama kuna waraka wowote basi uletwe tuuone tuujadili, na wao wataweza kujifunza hoja mbalimbali zinazoweza kuleta manufaa. Mimi naamini ukiwa kiongozi unaongoza matakwa ya watu sio matakwa yako/yenu viongozi ukiwa unatoa maagizo kutoka juu kwenye kiti chako ndani ya kiyoyozi na kumazlimisha aliye juani kutekleza mawazo yako/yenu bila kumshirikisha kuamua kuhusu maamuzi ya kiongozi huo utakuwa ni ud...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…