Mwenye wasifu wa huyu jamaa aje haraka

Mwenye wasifu wa huyu jamaa aje haraka

Huyo jamaa dishi limeyumba, halafu kageuzwa fursa.

Anatembezwa na watu wanapiga pesa: Just like wale wanaotembeza walemavu omba omba hapa Dar
Sio chizi,msaniii ila anajichetua na ni msanii kutoka tunduma(Boarder).... Ni balozi wa CRDB,na mashirika kama 3 nadhan anashirikiana nayo,...MTU wa namna hyo mpk unakuwa baloz, na kufanya kaz na mashirika huwezi kusema chizi...ila shida inakuja pale anavyofanya mtandaoni vingi n vichekesho..na ujinga uliopitiliza ..ila uhalisia hayuko Mara nying na lengine. Elimu nadhan hayuko vzr inayopelekea kutonufaika sana na kile aanachokifanya
 
Back
Top Bottom