Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
Habari wana Ndugu,
Nilishawahi Kupotea Dar Nina Pesa Mkononi,Naona Daladala Zinapita Lakini Sijui Nipande Ipi Ili Nifike Ninapokusudia
Ghafla Paap! Naona Mdada Kasimama
Mimi:Mambo Samahani Dada (Huku Nikiwa na Kiaibu cha Kuuliza Ofkoz Kuna Kiaibu fulani Ukiwa Unauliza ) Hivi Hapa Nikitaka kwenda Kigogo Napanda Daladala Ipi?
Mdada:Mmmh Mimi mwenyewe Mgeni hapa Hata Sielewi
Mimi😱oh Poa Asante
(Nilitamani Kusikiliza Konda akipiga Debe Kigogo,rwanga lakin Mahali Nilipokuwa Nimesimama Hakukuwa Kituo rasmi Kwa Hio Daladala Zilikuwa zikipita Bila Kusimama Zinaenda Kusimama Mbele
Nikiwa nimezubaa Zubaa Ghafla Naona washikaji wawili warefu wamevaa nadhifu wanakuja kwa madoido Nikajisemea Hawa Lazima watakuwa waenyeji Ngoja niwavagae
Mimi:Inakuwaje Kaka
Mmojawapo😛oa
Mimi:Naulizia Daladala za Kwenda Kigogo
Mmojawapo😀aah Hapa Daladala za Kigogo kwa Hapaaa Hapa Hamna lakini sijui Sina Uhakika sana
Baada ya Kuulizia mtu wa Tatu Ndo Nikapata Maelekezo Mazuri lakini Tayari Nimeshafedheheka.
Kama Unaenda Mwisho wa Kituo Mara Nyingi Ni rahisi Kupata Daladala sababu Utangalia jina Mfano Makumbusho utaangalia Yenye Jina Makumbusho upande labda kama Hazipiti Ulipo lakin Vipi kama Unaenda Sinza,Magomeni,Ilala Hakuna daladala zilioandikwa Hayo Majina Pia Wewe Ni Mgeni Upo Nyumbani Haina Haja Ya Kwenda balabalani au kwa Majirani Kuuliza App Itakusaidia
Sasa Nilipata wazo Wazo La Kutengeneza App itakayosaidia Watu Kujua Wapande Daladala gani wakiwa Wanaenda Mahali Husika Au Wakiwa Wamepotea App Itawaelekeza Kutoka Hiyo Location Alioyopo (kwa Kutumia GPS) Apande Daladala Ipi Ili Afike Mahali Anapopakusudia Bila Kuuliza Uliza.
kama Ni Mgeni hata kama Mwenyeji wa Dar Es salaam anataka Kwenda Sehemu Fulani Haina Haja Ya Kuuliza Hapa Napanda Daladala Ipi Nifike Mahali Fulani ataingia Kwenye App Na App Itamuelekeza.
Nini nataka Kutoka Kwako Mwenyeji wa Dar Naomba Unisaidie Data.Jina La Daladala Na Route/Vituo Inavopita Mfano
Daladala: Makumbusho-Posta
Vituo inavopita:Mnazi Mmoja,Fire,Jangwani,Magomeni,Manzese,Urafiki,Shekilango,Sinza,Bamaga,Makumbusho
Daladala: M/complex- Mj/Coca
Machinga complex,Karume,Ilala,Kigogo,Rwanga,Mabibo,Urafiki,Shekilango,Sinza,Mwenge
Naomba Kwa Anayejua Daladala Zaidi anisaidie Kulingana Na Route Anayojua
Kinachotajikiwa Ni Jina la Daladala Imeandikwaje Kwa Mbele (Mf Makumbusho-Posta) na Jina La Vituo Inavopita Unaweza Usivipange kinaanza Kipi We Vitaje tu Vituo Muhimu.
Naimani Nitakusanya Data Nyingi Hapa JamiiForum
Nimeshaanza Kutengeneza Hii Ni demo tu Nitaongeza GPS na Mengineyo
Screenshoot.
Mtumiaji atasearch kutoka wapi kwenda Wapi.
Kumbuka Hiyo Ni demo Tu Nitaongeza Vitu
Nilishawahi Kupotea Dar Nina Pesa Mkononi,Naona Daladala Zinapita Lakini Sijui Nipande Ipi Ili Nifike Ninapokusudia
Ghafla Paap! Naona Mdada Kasimama
Mimi:Mambo Samahani Dada (Huku Nikiwa na Kiaibu cha Kuuliza Ofkoz Kuna Kiaibu fulani Ukiwa Unauliza ) Hivi Hapa Nikitaka kwenda Kigogo Napanda Daladala Ipi?
Mdada:Mmmh Mimi mwenyewe Mgeni hapa Hata Sielewi
Mimi😱oh Poa Asante
(Nilitamani Kusikiliza Konda akipiga Debe Kigogo,rwanga lakin Mahali Nilipokuwa Nimesimama Hakukuwa Kituo rasmi Kwa Hio Daladala Zilikuwa zikipita Bila Kusimama Zinaenda Kusimama Mbele
Nikiwa nimezubaa Zubaa Ghafla Naona washikaji wawili warefu wamevaa nadhifu wanakuja kwa madoido Nikajisemea Hawa Lazima watakuwa waenyeji Ngoja niwavagae
Mimi:Inakuwaje Kaka
Mmojawapo😛oa
Mimi:Naulizia Daladala za Kwenda Kigogo
Mmojawapo😀aah Hapa Daladala za Kigogo kwa Hapaaa Hapa Hamna lakini sijui Sina Uhakika sana
Baada ya Kuulizia mtu wa Tatu Ndo Nikapata Maelekezo Mazuri lakini Tayari Nimeshafedheheka.
Kama Unaenda Mwisho wa Kituo Mara Nyingi Ni rahisi Kupata Daladala sababu Utangalia jina Mfano Makumbusho utaangalia Yenye Jina Makumbusho upande labda kama Hazipiti Ulipo lakin Vipi kama Unaenda Sinza,Magomeni,Ilala Hakuna daladala zilioandikwa Hayo Majina Pia Wewe Ni Mgeni Upo Nyumbani Haina Haja Ya Kwenda balabalani au kwa Majirani Kuuliza App Itakusaidia
Sasa Nilipata wazo Wazo La Kutengeneza App itakayosaidia Watu Kujua Wapande Daladala gani wakiwa Wanaenda Mahali Husika Au Wakiwa Wamepotea App Itawaelekeza Kutoka Hiyo Location Alioyopo (kwa Kutumia GPS) Apande Daladala Ipi Ili Afike Mahali Anapopakusudia Bila Kuuliza Uliza.
kama Ni Mgeni hata kama Mwenyeji wa Dar Es salaam anataka Kwenda Sehemu Fulani Haina Haja Ya Kuuliza Hapa Napanda Daladala Ipi Nifike Mahali Fulani ataingia Kwenye App Na App Itamuelekeza.
Nini nataka Kutoka Kwako Mwenyeji wa Dar Naomba Unisaidie Data.Jina La Daladala Na Route/Vituo Inavopita Mfano
Daladala: Makumbusho-Posta
Vituo inavopita:Mnazi Mmoja,Fire,Jangwani,Magomeni,Manzese,Urafiki,Shekilango,Sinza,Bamaga,Makumbusho
Daladala: M/complex- Mj/Coca
Machinga complex,Karume,Ilala,Kigogo,Rwanga,Mabibo,Urafiki,Shekilango,Sinza,Mwenge
Naomba Kwa Anayejua Daladala Zaidi anisaidie Kulingana Na Route Anayojua
Kinachotajikiwa Ni Jina la Daladala Imeandikwaje Kwa Mbele (Mf Makumbusho-Posta) na Jina La Vituo Inavopita Unaweza Usivipange kinaanza Kipi We Vitaje tu Vituo Muhimu.
Naimani Nitakusanya Data Nyingi Hapa JamiiForum
Nimeshaanza Kutengeneza Hii Ni demo tu Nitaongeza GPS na Mengineyo
Screenshoot.
Mtumiaji atasearch kutoka wapi kwenda Wapi.
Kumbuka Hiyo Ni demo Tu Nitaongeza Vitu