Mwenyeji wa Dar Nakuhitaji Unisaidie: Natengeneza App Itakayosaidia Watu/Wageni Wa Dar Wasipotee

Mwenyeji wa Dar Nakuhitaji Unisaidie: Natengeneza App Itakayosaidia Watu/Wageni Wa Dar Wasipotee

Super Charged

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2020
Posts
947
Reaction score
1,710
Habari wana Ndugu,

Nilishawahi Kupotea Dar Nina Pesa Mkononi,Naona Daladala Zinapita Lakini Sijui Nipande Ipi Ili Nifike Ninapokusudia
Ghafla Paap! Naona Mdada Kasimama

Mimi:Mambo Samahani Dada (Huku Nikiwa na Kiaibu cha Kuuliza Ofkoz Kuna Kiaibu fulani Ukiwa Unauliza ) Hivi Hapa Nikitaka kwenda Kigogo Napanda Daladala Ipi?

Mdada:Mmmh Mimi mwenyewe Mgeni hapa Hata Sielewi
Mimi😱oh Poa Asante
(Nilitamani Kusikiliza Konda akipiga Debe Kigogo,rwanga lakin Mahali Nilipokuwa Nimesimama Hakukuwa Kituo rasmi Kwa Hio Daladala Zilikuwa zikipita Bila Kusimama Zinaenda Kusimama Mbele
Nikiwa nimezubaa Zubaa Ghafla Naona washikaji wawili warefu wamevaa nadhifu wanakuja kwa madoido Nikajisemea Hawa Lazima watakuwa waenyeji Ngoja niwavagae

Mimi:Inakuwaje Kaka
Mmojawapo😛oa
Mimi:Naulizia Daladala za Kwenda Kigogo
Mmojawapo😀aah Hapa Daladala za Kigogo kwa Hapaaa Hapa Hamna lakini sijui Sina Uhakika sana

Baada ya Kuulizia mtu wa Tatu Ndo Nikapata Maelekezo Mazuri lakini Tayari Nimeshafedheheka.
Kama Unaenda Mwisho wa Kituo Mara Nyingi Ni rahisi Kupata Daladala sababu Utangalia jina Mfano Makumbusho utaangalia Yenye Jina Makumbusho upande labda kama Hazipiti Ulipo lakin Vipi kama Unaenda Sinza,Magomeni,Ilala Hakuna daladala zilioandikwa Hayo Majina Pia Wewe Ni Mgeni Upo Nyumbani Haina Haja Ya Kwenda balabalani au kwa Majirani Kuuliza App Itakusaidia

Sasa Nilipata wazo Wazo La Kutengeneza App itakayosaidia Watu Kujua Wapande Daladala gani wakiwa Wanaenda Mahali Husika Au Wakiwa Wamepotea App Itawaelekeza Kutoka Hiyo Location Alioyopo (kwa Kutumia GPS) Apande Daladala Ipi Ili Afike Mahali Anapopakusudia Bila Kuuliza Uliza.

kama Ni Mgeni hata kama Mwenyeji wa Dar Es salaam anataka Kwenda Sehemu Fulani Haina Haja Ya Kuuliza Hapa Napanda Daladala Ipi Nifike Mahali Fulani ataingia Kwenye App Na App Itamuelekeza.

Nini nataka Kutoka Kwako Mwenyeji wa Dar Naomba Unisaidie Data.Jina La Daladala Na Route/Vituo Inavopita Mfano

Daladala: Makumbusho-Posta
Vituo inavopita:Mnazi Mmoja,Fire,Jangwani,Magomeni,Manzese,Urafiki,Shekilango,Sinza,Bamaga,Makumbusho

Daladala: M/complex- Mj/Coca
Machinga complex,Karume,Ilala,Kigogo,Rwanga,Mabibo,Urafiki,Shekilango,Sinza,Mwenge

Naomba Kwa Anayejua Daladala Zaidi anisaidie Kulingana Na Route Anayojua
Kinachotajikiwa Ni Jina la Daladala Imeandikwaje Kwa Mbele (Mf Makumbusho-Posta) na Jina La Vituo Inavopita Unaweza Usivipange kinaanza Kipi We Vitaje tu Vituo Muhimu.
Naimani Nitakusanya Data Nyingi Hapa JamiiForum


Nimeshaanza Kutengeneza Hii Ni demo tu Nitaongeza GPS na Mengineyo
Screenshoot.
Mtumiaji atasearch kutoka wapi kwenda Wapi.
Kumbuka Hiyo Ni demo Tu Nitaongeza Vitu
 

Attachments

  • Screenshot_20250212_142831.jpg
    Screenshot_20250212_142831.jpg
    51.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250212_142746.jpg
    Screenshot_20250212_142746.jpg
    50.1 KB · Views: 4
Hii nzuri sana. Wekana na Kiswahili.

Unapotaka kutengeneza app pata data kwenye source reliable.Nenda ofisi za Latra.Maana hao ndiyo wanaotoa route na kuzibadilisha. pia app yako inaweza kua inaupdate kila route inavyobadilika.

otherwise nenda kwenye stendi kubwa kubwa za dalala ukaone mwenyewe.mfano Gongo lamboto,mnazi mmoja,karikoo,mbagala,makumbusho,mhimbili,mbezi magufuli etc
 
Idea nzuri.
Ushauri upate routes toka official source.

Hii idea inatumika China.Wenzetu route zao basi ziko kwa number.So naweza andika kituo nacho enda,nitaonyeshwa jinsi ya kufika kituoni na bus namba ya kupanda.
Na iko in real time,naona bus inafika kituoni baada ya dakika ngapi.
IMG_4399.jpg

Inaonyesha toka nilipo hadi kituoni dakika ngapi na bus namba ya kupanda kwenda address niliyoandika
 
Idea nzuri.
Ushauri upate routes toka official source.

Hii idea inatumika China.Wenzetu route zao basi ziko kwa number.So naweza andika kituo nacho enda,nitaonyeshwa jinsi ya kufika kituoni na bus namba ya kupanda.
Na iko in real time,naona bus inafika kituoni baada ya dakika ngapi.
View attachment 3234643
Inaonyesha toka nilipo hadi kituoni dakika ngapi na bus namba ya kupanda kwenda address niliyoandika
Mwamba na hii lugha inapanda?
 
Dar ruti ni ngumu kuzimaliza..ni nyingi ndefu pia hiyo sio msaada maana Kuna ukatishaji route na kubadili njia wakikwepa foleni.
Mfano mawasiliano Hadi g/mboto kukwepa foleni ya Mandela wanaingia njia ya tabata Moja Kwa Moja wanaiabuka ukonga banana mgeni alitaka ashuhswe tazara utafanyaje hapo?
Mwasiliano toTabata kimanga wakiona foleni wanakatisha route pale external wanaingia pembeni njia ya kisukulu Moja Kwa Moja mpaka kimanga,sa kama mgeni alipanga ashuke tabata bima imekula kwake

Ukitaka urahisi labda uwafunze mitaa ya dar ilivojipangilia sio ruti za magari.
Mfano ukiwa kigogo luhanga unapakana na mabibo,manzese,tabata.
Ukiwa manzese unapakana na mabibo,tandale magomeni
Ukiwa magomeni unapakana na manzese,kinondoni,kariakoo

Somehow itasaidia.sa mtu uko buniu unawauliza njia ya kwenda kigogo hawajui
 
Habari wana Ndugu,

Nilishawahi Kupotea Dar Nina Pesa Mkononi,Naona Daladala Zinapita Lakini Sijui Nipande Ipi Ili Nifike Ninapokusudia
Ghafla Paap! Naona Mdada Kasimama

Mimi:Mambo Samahani Dada (Huku Nikiwa na Kiaibu cha Kuuliza Ofkoz Kuna Kiaibu fulani Ukiwa Unauliza ) Hivi Hapa Nikitaka kwenda Kigogo Napanda Daladala Ipi?

Mdada:Mmmh Mimi mwenyewe Mgeni hapa Hata Sielewi
Mimi😱oh Poa Asante
(Nilitamani Kusikiliza Konda akipiga Debe Kigogo,rwanga lakin Mahali Nilipokuwa Nimesimama Hakukuwa Kituo rasmi Kwa Hio Daladala Zilikuwa zikipita Bila Kusimama Zinaenda Kusimama Mbele
Nikiwa nimezubaa Zubaa Ghafla Naona washikaji wawili warefu wamevaa nadhifu wanakuja kwa madoido Nikajisemea Hawa Lazima watakuwa waenyeji Ngoja niwavagae

Mimi:Inakuwaje Kaka
Mmojawapo😛oa
Mimi:Naulizia Daladala za Kwenda Kigogo
Mmojawapo😀aah Hapa Daladala za Kigogo kwa Hapaaa Hapa Hamna lakini sijui Sina Uhakika sana

Baada ya Kuulizia mtu wa Tatu Ndo Nikapata Maelekezo Mazuri lakini Tayari Nimeshafedheheka.
Kama Unaenda Mwisho wa Kituo Mara Nyingi Ni rahisi Kupata Daladala sababu Utangalia jina Mfano Makumbusho utaangalia Yenye Jina Makumbusho upande labda kama Hazipiti Ulipo lakin Vipi kama Unaenda Sinza,Magomeni,Ilala Hakuna daladala zilioandikwa Hayo Majina Pia Wewe Ni Mgeni Upo Nyumbani Haina Haja Ya Kwenda balabalani au kwa Majirani Kuuliza App Itakusaidia

Sasa Nilipata wazo Wazo La Kutengeneza App itakayosaidia Watu Kujua Wapande Daladala gani wakiwa Wanaenda Mahali Husika Au Wakiwa Wamepotea App Itawaelekeza Kutoka Hiyo Location Alioyopo (kwa Kutumia GPS) Apande Daladala Ipi Ili Afike Mahali Anapopakusudia Bila Kuuliza Uliza.

kama Ni Mgeni hata kama Mwenyeji wa Dar Es salaam anataka Kwenda Sehemu Fulani Haina Haja Ya Kuuliza Hapa Napanda Daladala Ipi Nifike Mahali Fulani ataingia Kwenye App Na App Itamuelekeza.

Nini nataka Kutoka Kwako Mwenyeji wa Dar Naomba Unisaidie Data.Jina La Daladala Na Route/Vituo Inavopita Mfano

Daladala: Makumbusho-Posta
Vituo inavopita:Mnazi Mmoja,Fire,Jangwani,Magomeni,Manzese,Urafiki,Shekilango,Sinza,Bamaga,Makumbusho

Daladala: M/complex- Mj/Coca
Machinga complex,Karume,Ilala,Kigogo,Rwanga,Mabibo,Urafiki,Shekilango,Sinza,Mwenge

Naomba Kwa Anayejua Daladala Zaidi anisaidie Kulingana Na Route Anayojua
Kinachotajikiwa Ni Jina la Daladala Imeandikwaje Kwa Mbele (Mf Makumbusho-Posta) na Jina La Vituo Inavopita Unaweza Usivipange kinaanza Kipi We Vitaje tu Vituo Muhimu.
Naimani Nitakusanya Data Nyingi Hapa JamiiForum


Nimeshaanza Kutengeneza Hii Ni demo tu Nitaongeza GPS na Mengineyo
Screenshoot.
Mtumiaji atasearch kutoka wapi kwenda Wapi.
Kumbuka Hiyo Ni demo Tu Nitaongeza Vitu
Google maps mwisho wa matatizo
 
Mkuu idea yako ipo bomba sana. Sema ukitafuta data from JF au mtandaon haitapendza, tembelea mwenyew route za dar "fanya research, kwan app yako itatakiwa iwe na taarifa sahihi. Ila mim nikiendaga ugenin natumiaga google map ili nisipotee na huwa siuliz watu kwan raman ninayo kiganjan(simu)
 
Habari wana Ndugu,

Nilishawahi Kupotea Dar Nina Pesa Mkononi,Naona Daladala Zinapita Lakini Sijui Nipande Ipi Ili Nifike Ninapokusudia
Ghafla Paap! Naona Mdada Kasimama

Mimi:Mambo Samahani Dada (Huku Nikiwa na Kiaibu cha Kuuliza Ofkoz Kuna Kiaibu fulani Ukiwa Unauliza ) Hivi Hapa Nikitaka kwenda Kigogo Napanda Daladala Ipi?

Mdada:Mmmh Mimi mwenyewe Mgeni hapa Hata Sielewi
Mimi😱oh Poa Asante
(Nilitamani Kusikiliza Konda akipiga Debe Kigogo,rwanga lakin Mahali Nilipokuwa Nimesimama Hakukuwa Kituo rasmi Kwa Hio Daladala Zilikuwa zikipita Bila Kusimama Zinaenda Kusimama Mbele
Nikiwa nimezubaa Zubaa Ghafla Naona washikaji wawili warefu wamevaa nadhifu wanakuja kwa madoido Nikajisemea Hawa Lazima watakuwa waenyeji Ngoja niwavagae

Mimi:Inakuwaje Kaka
Mmojawapo😛oa
Mimi:Naulizia Daladala za Kwenda Kigogo
Mmojawapo😀aah Hapa Daladala za Kigogo kwa Hapaaa Hapa Hamna lakini sijui Sina Uhakika sana

Baada ya Kuulizia mtu wa Tatu Ndo Nikapata Maelekezo Mazuri lakini Tayari Nimeshafedheheka.
Kama Unaenda Mwisho wa Kituo Mara Nyingi Ni rahisi Kupata Daladala sababu Utangalia jina Mfano Makumbusho utaangalia Yenye Jina Makumbusho upande labda kama Hazipiti Ulipo lakin Vipi kama Unaenda Sinza,Magomeni,Ilala Hakuna daladala zilioandikwa Hayo Majina Pia Wewe Ni Mgeni Upo Nyumbani Haina Haja Ya Kwenda balabalani au kwa Majirani Kuuliza App Itakusaidia

Sasa Nilipata wazo Wazo La Kutengeneza App itakayosaidia Watu Kujua Wapande Daladala gani wakiwa Wanaenda Mahali Husika Au Wakiwa Wamepotea App Itawaelekeza Kutoka Hiyo Location Alioyopo (kwa Kutumia GPS) Apande Daladala Ipi Ili Afike Mahali Anapopakusudia Bila Kuuliza Uliza.

kama Ni Mgeni hata kama Mwenyeji wa Dar Es salaam anataka Kwenda Sehemu Fulani Haina Haja Ya Kuuliza Hapa Napanda Daladala Ipi Nifike Mahali Fulani ataingia Kwenye App Na App Itamuelekeza.

Nini nataka Kutoka Kwako Mwenyeji wa Dar Naomba Unisaidie Data.Jina La Daladala Na Route/Vituo Inavopita Mfano

Daladala: Makumbusho-Posta
Vituo inavopita:Mnazi Mmoja,Fire,Jangwani,Magomeni,Manzese,Urafiki,Shekilango,Sinza,Bamaga,Makumbusho

Daladala: M/complex- Mj/Coca
Machinga complex,Karume,Ilala,Kigogo,Rwanga,Mabibo,Urafiki,Shekilango,Sinza,Mwenge

Naomba Kwa Anayejua Daladala Zaidi anisaidie Kulingana Na Route Anayojua
Kinachotajikiwa Ni Jina la Daladala Imeandikwaje Kwa Mbele (Mf Makumbusho-Posta) na Jina La Vituo Inavopita Unaweza Usivipange kinaanza Kipi We Vitaje tu Vituo Muhimu.
Naimani Nitakusanya Data Nyingi Hapa JamiiForum


Nimeshaanza Kutengeneza Hii Ni demo tu Nitaongeza GPS na Mengineyo
Screenshoot.
Mtumiaji atasearch kutoka wapi kwenda Wapi.
Kumbuka Hiyo Ni demo Tu Nitaongeza Vitu
Safi sana.
 
Actually nafikiri mtu ambaye anaweza kutumia app yako means anaweza kutumia google maps na Uber so hawa ni washindani wako wa haraka haraka.

Kama waweza exploit weaknesses zao then utakua a step in the right direction.
 
Google maps mwisho wa matatizo
Changamoto ya google maps haina majina ya mitaa yote maeneo mengi hasa nchi za Afrika. Pili wanachelewa kufanya update kama kuna mabadiliko yoyote yaliyofanywa, mfano kuna nyumba imejengwa au kubomolewa au njia kufungwa. Mwisho majina ya maeneo mengi unakuta yamekosewa, au location point haiko sahihi au kutumia majina ya mitaa ambayo kwa wakati huo hayatumiki au kujulikana.
 
Back
Top Bottom