Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ohh hapo sawaAmeulizwa huko juu sema JF imemfelisha kwenye reply haija quote original post.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohh hapo sawaAmeulizwa huko juu sema JF imemfelisha kwenye reply haija quote original post.
Ukiona unapotea na google maps jua hapo sio Dar ni mashenzini.Hapana mkuu kwa dar ukienda ivyo utapotea kama unatumia usafir wadaladala labda utumie bolt
Umeulizwa mkuu samahani?
Mm ndo natumiagaVizuri ila google maps/ google earth wametengeneza msingi mzuri sana sema tu wabongo hawana exposure ya mitandao na uelewa.
Dah nimepakumbuka kigamboni kuna sehemu inaitwa mashenzini alooh kuna ushenzi sana kuleUkiona unapotea na google maps jua hapo sio Dar ni mashenzini.
Habari wana Ndugu,
Nilishawahi Kupotea Dar Nina Pesa Mkononi,Naona Daladala Zinapita Lakini Sijui Nipande Ipi Ili Nifike Ninapokusudia
Ghafla Paap! Naona Mdada Kasimama
Mimi:Mambo Samahani Dada (Huku Nikiwa na Kiaibu cha Kuuliza Ofkoz Kuna Kiaibu fulani Ukiwa Unauliza ) Hivi Hapa Nikitaka kwenda Kigogo Napanda Daladala Ipi?
Mdada:Mmmh Mimi mwenyewe Mgeni hapa Hata Sielewi
Mimi😱oh Poa Asante
(Nilitamani Kusikiliza Konda akipiga Debe Kigogo,rwanga lakin Mahali Nilipokuwa Nimesimama Hakukuwa Kituo rasmi Kwa Hio Daladala Zilikuwa zikipita Bila Kusimama Zinaenda Kusimama Mbele
Nikiwa nimezubaa Zubaa Ghafla Naona washikaji wawili warefu wamevaa nadhifu wanakuja kwa madoido Nikajisemea Hawa Lazima watakuwa waenyeji Ngoja niwavagae
Mimi:Inakuwaje Kaka
Mmojawapo😛oa
Mimi:Naulizia Daladala za Kwenda Kigogo
Mmojawapo😀aah Hapa Daladala za Kigogo kwa Hapaaa Hapa Hamna lakini sijui Sina Uhakika sana
Baada ya Kuulizia mtu wa Tatu Ndo Nikapata Maelekezo Mazuri lakini Tayari Nimeshafedheheka.
Kama Unaenda Mwisho wa Kituo Mara Nyingi Ni rahisi Kupata Daladala sababu Utangalia jina Mfano Makumbusho utaangalia Yenye Jina Makumbusho upande labda kama Hazipiti Ulipo lakin Vipi kama Unaenda Sinza,Magomeni,Ilala Hakuna daladala zilioandikwa Hayo Majina Pia Wewe Ni Mgeni Upo Nyumbani Haina Haja Ya Kwenda balabalani au kwa Majirani Kuuliza App Itakusaidia
Sasa Nilipata wazo Wazo La Kutengeneza App itakayosaidia Watu Kujua Wapande Daladala gani wakiwa Wanaenda Mahali Husika Au Wakiwa Wamepotea App Itawaelekeza Kutoka Hiyo Location Alioyopo (kwa Kutumia GPS) Apande Daladala Ipi Ili Afike Mahali Anapopakusudia Bila Kuuliza Uliza.
kama Ni Mgeni hata kama Mwenyeji wa Dar Es salaam anataka Kwenda Sehemu Fulani Haina Haja Ya Kuuliza Hapa Napanda Daladala Ipi Nifike Mahali Fulani ataingia Kwenye App Na App Itamuelekeza.
Nini nataka Kutoka Kwako Mwenyeji wa Dar Naomba Unisaidie Data.Jina La Daladala Na Route/Vituo Inavopita Mfano
Daladala: Makumbusho-Posta
Vituo inavopita:Mnazi Mmoja,Fire,Jangwani,Magomeni,Manzese,Urafiki,Shekilango,Sinza,Bamaga,Makumbusho
Daladala: M/complex- Mj/Coca
Machinga complex,Karume,Ilala,Kigogo,Rwanga,Mabibo,Urafiki,Shekilango,Sinza,Mwenge
Naomba Kwa Anayejua Daladala Zaidi anisaidie Kulingana Na Route Anayojua
Kinachotajikiwa Ni Jina la Daladala Imeandikwaje Kwa Mbele (Mf Makumbusho-Posta) na Jina La Vituo Inavopita Unaweza Usivipange kinaanza Kipi We Vitaje tu Vituo Muhimu.
Naimani Nitakusanya Data Nyingi Hapa JamiiForum
Nimeshaanza Kutengeneza Hii Ni demo tu Nitaongeza GPS na Mengineyo
Screenshoot.
Mtumiaji atasearch kutoka wapi kwenda Wapi.
Kumbuka Hiyo Ni demo Tu Nitaongeza Vitu
Sawa nikqjua unajielea tuKuna mtu ameniuliza.Nilikuwa namjibu yeye.Lakini naona reply imekuja bila quote ya niliyekuwa namjibu.
Na mimi Nilikuwa Nafikiria Hivo Ila Nimekuja Jamiiforums Kwanza Ili Nipunguze Baadhi ya RouteHii nzuri sana. Wekana na Kiswahili.
Unapotaka kutengeneza app pata data kwenye source reliable.Nenda ofisi za Latra.Maana hao ndiyo wanaotoa route na kuzibadilisha. pia app yako inaweza kua inaupdate kila route inavyobadilika.
otherwise nenda kwenye stendi kubwa kubwa za dalala ukaone mwenyewe.mfano Gongo lamboto,mnazi mmoja,karikoo,mbagala,makumbusho,mhimbili,mbezi magufuli etc
Google maps mwisho wa matatizo
Hujaelewa msingi Wa App.Msingi wa App Sio Kukupa Location Msingi wa App Ni Kukueleza Upande daladala Ipi.Mfano Nipo Manzese Nataka Kwenda Masaki App Itanielekeza Nipande Daladala za Mabibo-Makumbusho Nishuke Kinondoni Kisha Nipande Daladala za Masaki-Mawasiliano hyo Ndo Kazi Ya AppActually nafikiri mtu ambaye anaweza kutumia app yako means anaweza kutumia google maps na Uber so hawa ni washindani wako wa haraka haraka.
Kama waweza exploit weaknesses zao then utakua a step in the right direction.
Mimi Ni Mkazi Wa Dar.Kuwa Mkazi Haimaanishi Unajua Kila Route Ndo Maana Nikaja Huku JamiiForums Kusaidiwa Naamini Kuna Wenyeji piaVery beautiful idea, why don’t you come to Dar and spend one week kwa mfano?
Google map ila sawa tu nzuri km Uber XLShukran Una Jua route yoyote Ile?Unisaidie
Mimi Ni Mkazi Wa Dar.Kuwa Mkazi Haimaanishi Unajua Kila Route Ndo Maana Nikaja Huku JamiiForums Kusaidiwa Naamini Kuna Wenyeji pia
Mm ndo natumiaga
Jifunze kusoma post zilizotangulia kabla hujaandika.Umeulizwa mkuu samahani?
Mwamba na hii lugha inapanda?
Naongea kichina na ninasoma/andika kichina cha maisha ya kila siku.(Sio academic/scientific chinese)
Nipo China toka 2014