Mwenyeji wa Dar Nakuhitaji Unisaidie: Natengeneza App Itakayosaidia Watu/Wageni Wa Dar Wasipotee


Very beautiful idea, why don’t you come to Dar and spend one week kwa mfano?
 
Na mimi Nilikuwa Nafikiria Hivo Ila Nimekuja Jamiiforums Kwanza Ili Nipunguze Baadhi ya Route
 
Actually nafikiri mtu ambaye anaweza kutumia app yako means anaweza kutumia google maps na Uber so hawa ni washindani wako wa haraka haraka.

Kama waweza exploit weaknesses zao then utakua a step in the right direction.
Hujaelewa msingi Wa App.Msingi wa App Sio Kukupa Location Msingi wa App Ni Kukueleza Upande daladala Ipi.Mfano Nipo Manzese Nataka Kwenda Masaki App Itanielekeza Nipande Daladala za Mabibo-Makumbusho Nishuke Kinondoni Kisha Nipande Daladala za Masaki-Mawasiliano hyo Ndo Kazi Ya App
 
Very beautiful idea, why don’t you come to Dar and spend one week kwa mfano?
Mimi Ni Mkazi Wa Dar.Kuwa Mkazi Haimaanishi Unajua Kila Route Ndo Maana Nikaja Huku JamiiForums Kusaidiwa Naamini Kuna Wenyeji pia
 
Safi sana kijana Bora Yako Inaashiria ELIMU uliyopata Ina msaada kwako Mkono wa bwana uwe pamoja na ww
 
Mm ndo natumiaga

Mi pia sijawahi kufeli napokwenda nikitumia google maps nafika. Kasoro njia za mitaa tu ndani ndani ndo natumia boda boda ila road to road google maps imecover fresh hadi majina ya vituo yapo.
 
Wazo zuri sana na litasaidia wengi, kwani wanaotoa hizo route huwezi kuwafikia hao LATRA?
Nafikiri wao wangekupa kila msaada unaotaka
Ila sina uhakika nimewaza tu
 
So hi App the End user ni abiria wa daladala.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…