kyerwa. we uko wapi? kyerwa ni wilaya Mpya iko karagwe maeneo ya kaisho. so ukishafika bukoba stendi utapanda mabasi ya karagwe ni masaa mawili mpaka karagwe omulushaka stend. ulizia magari ya kyerwa. ukikosa utapanda magari ya kaisho. mengine mbele kwa mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.