shangwe shangwe
Senior Member
- Oct 17, 2012
- 108
- 24
Wapendwa wadau kwa mwenyeji yeyote ktk college ya Humanity and social science pale UDOM naomba anifahamishe machache juu ya taratibu za chuo kuhusu;
1.malazi kwa wanachuo
2.mavazi kwa wanachuo(wa kike na wa kiume)
3.chakula(gharama yake)
4.Namna ya kufika huko kwa mwanachuo mwaka wa kwanza.
Asanteni sana!
1.malazi kwa wanachuo
2.mavazi kwa wanachuo(wa kike na wa kiume)
3.chakula(gharama yake)
4.Namna ya kufika huko kwa mwanachuo mwaka wa kwanza.
Asanteni sana!