Pre GE2025 Mwenyekiti CCM Tanga: Hakuna Elimu bila Ada sote tunalipiwa ada na Rais Samia

Pre GE2025 Mwenyekiti CCM Tanga: Hakuna Elimu bila Ada sote tunalipiwa ada na Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kumekuchaa kumekuchaaa, kumbe watu watoto Tanzania nzima wanalipiwa ada na Rais Samia na hamsemi:BearLaugh::BearLaugh:

====

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mwenyekiti CCM Tanga, Ndg. Abdulrahman Abdullah amesema kusema kuna Elimu Bure sio sawa, maana elimu siyo bure maana Samia ndio anatoa hela kwaajili ya watoto wa Kitanzania kusomeshwa. Anasema bila Rais Samia watoto wasingeweza kusoma Dar!


Watz kodi zenu hazina hata maana, mama anakamilisha kila kitu yaani kwa jinsi anavyotupenda!
 
Wakuu,

Kumekuchaa kumekuchaaa, kumbe watu watoto Tanzania nzima wanalipiwa ada na Rais Samia na hamsemi:BearLaugh::BearLaugh:

====

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mwenyekiti CCM Tanga, Ndg. Abdulrahman Abdullah amesema kusema kuna Elimu Bure sio sawa, maana elimu siyo bure maana Samia ndio anatoa hela kwaajili ya watoto wa Kitanzania kusomeshwa. Anasema bila Rais Samia watoto wasingeweza kusoma Dar!


Watz kodi zenu hazina hata maana, mama anakamilisha kila kitu yaani kwa jinsi anavyotupenda!
Hizo fedha anazitoa wapi? Mshahara wake? Acha kutuzuga bwana!
 
Unaweza kukuta wajinga waliokuwepo eneo hilo walishangilia kauli hiyo.
 
Back
Top Bottom