Mwenyekiti CCM Tanga, Ndg. Abdulrahman Abdullah amesema kusema kuna Elimu Bure sio sawa, maana elimu siyo bure maana Samia ndio anatoa hela kwaajili ya watoto wa Kitanzania kusomeshwa. Anasema bila Rais Samia watoto wasingeweza kusoma Dar!
Your browser is not able to display this video.
Watz kodi zenu hazina hata maana, mama anakamilisha kila kitu yaani kwa jinsi anavyotupenda!
Mwenyekiti CCM Tanga, Ndg. Abdulrahman Abdullah amesema kusema kuna Elimu Bure sio sawa, maana elimu siyo bure maana Samia ndio anatoa hela kwaajili ya watoto wa Kitanzania kusomeshwa. Anasema bila Rais Samia watoto wasingeweza kusoma Dar!