Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kaskazini: Nitawashughulikia wote wasiomkubali Lissu

Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kaskazini: Nitawashughulikia wote wasiomkubali Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Mwenyekiti CHADEMA Kanda Kaskazini Wakili Welwel wakati akifungua kikao kazi kilichohutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa Kamanda John Heche kilichofanyika Siku ya jana Equator Hotel Arusha amesema kuna wanachadema bado wanaugulia maumivu kama vile wamefiwa. Anahoji ni maumivu gani ya mwezi mzima yasiyopona baada ya uchaguzi.

Ametishia kuwashughulikia ikiwemo kuwapa kesi ya uhaini kwenye chama.

 
Shida ni kuwa ,ukihama CHADEMA unaenda wapi!

Nchi hii ni muhimu Serikali ikafuta vyama vingine vibaki vyama vitatu vikubwa pekee, iwekeze nguvu ya kutosha na vipewe pesa kusaidia Nchi kukuza DEMOKRASIA na maendeleo
Lakini kukosoa uongozi sidhani kama ni jambo baya nadhani hapa chama changu kinateleza.
 
Shida ni kuwa ,ukihama CHADEMA unaenda wapi!

Nchi hii ni muhimu Serikali ikafuta vyama vingine vibaki vyama vitatu vikubwa pekee, iwekeze nguvu ya kutosha na vipewe pesa kusaidia Nchi kukuza DEMOKRASIA na maendeleo
Mkuu unywe kidogo kesho kazi.
 
Kweli hawa ndio wapewe kuongoza Nchi?
Kuwavumilia wenzao walio na mtazamo tofauti hawawezi.Ni Usaliti kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kanda Ya Kaskazini.Yaani ni lazima uunge mkono uongozi uliopo. Usipofanya hivyo utashughulikiwa.
 
Kweli hawa ndio wapewe kuongoza Nchi?
Kuwavumilia wenzao walio na mtazamo tofauti hawawezi.Ni Usaliti kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kanda Ya Kaskazini.Yaani ni lazima uunge mkono uongozi uliopo. Usipofanya hivyo utashughulikiwa.
Mawazo tofauti yasiyovumilika ni yapi?

Uchaguzi ulifanyika kwa uhuru mkubwa. Viongozi ambao wengi waliwataka, walikwishapatikana. Kuwakataa viongozi waliopatikana kidemokrasia na kwa kufuata kanuni na taratibu zote za chama, ni kukihujumu chama. Anayehujumu chama ni adui wa chama.
 
Msemaji hajaongelea watu kuhusu kukosa chama,

Ameongelea majonzi na huzuni ya kushindwa uchaguzi isoisha!

Mbona unatoka nje ya mada ulioianzisha mwenyewe?
Kumpa kesi ya uhaini tena?dah
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Mawazo tofauti yasiyovumilika ni yapi?

Uchaguzi ulifanyika kwa uhuru mkubwa. Viongozi ambao wengi waliwataka, walikwishapatikana. Kuwakataa viongozi waliopatikana kidemokrasia na kwa kufuata kanuni na taratibu zote za chama, ni kukihujumu chama. Anayehujumu chama ni adui wa chama.
Mbona lissu akimpinga mwenyekiti wake? Hakujua kwamba kuna siku na yeye atapingwa
 
Mwenyekiti CHADEMA Kanda Kaskazini Wakili Welwel wakati akifungua kikao kazi kilichohutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa Kamanda John Heche kilichofanyika Siku ya jana Equator Hotel Arusha amesema kuna wanachadema bado wanaugulia maumivu kama vile wamefiwa. Anahoji ni maumivu gani ya mwezi mzima yasiyopona baada ya uchaguzi.

Ametishia kuwashughulikia ikiwemo kuwapa kesi ya uhaini kwenye chama.

View attachment 3246768
CHADEMA inaongozwa na vibaka na matapeli wa kisiasa
 
Kweli hawa ndio wapewe kuongoza Nchi?
Kuwavumilia wenzao walio na mtazamo tofauti hawawezi.Ni Usaliti kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kanda Ya Kaskazini.Yaani ni lazima uunge mkono uongozi uliopo. Usipofanya hivyo utashughulikiwa.
Ubabe ubabe tu
 
Back
Top Bottom