sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,171
- 4,295
Mwenyekiti CHADEMA Kanda Kaskazini Wakili Welwel wakati akifungua kikao kazi kilichohutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa Kamanda John Heche kilichofanyika Siku ya jana Equator Hotel Arusha amesema kuna wanachadema bado wanaugulia maumivu kama vile wamefiwa. Anahoji ni maumivu gani ya mwezi mzima yasiyopona baada ya uchaguzi.
Ametishia kuwashughulikia ikiwemo kuwapa kesi ya uhaini kwenye chama.
Ametishia kuwashughulikia ikiwemo kuwapa kesi ya uhaini kwenye chama.