Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Acha kuleta hoja na kuishia kuipotosha.Lakini kukosoa uongozi sidhani kama ni jambo baya nadhani hapa chama changu kinateleza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuleta hoja na kuishia kuipotosha.Lakini kukosoa uongozi sidhani kama ni jambo baya nadhani hapa chama changu kinateleza.
Leta tafsiri tofauti na alichosema Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini kwenye hiyo clip?Au alikuwa anaongea kiiraqw?Acha kuleta hoja na kuishia kuipotosha.
Wote ambao mna maumivu ya chama Cha harakati karibuni chama dume CCM huku ni furaha ,amani,utulivu na kuendeleza kushika dolaMwenyekiti CHADEMA Kanda Kaskazini Wakili Welwel wakati akifungua kikao kazi kilichohutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa Kamanda John Heche kilichofanyika Siku ya jana Equator Hotel Arusha amesema kuna wanachadema bado wanaugulia maumivu kama vile wamefiwa. Anahoji ni maumivu gani ya mwezi mzima yasiyopona baada ya uchaguzi.
Ametishia kuwashughulikia ikiwemo kuwapa kesi ya uhaini kwenye chama.
View attachment 3246768
nini maana ya uchaguziMawazo tofauti yasiyovumilika ni yapi?
Uchaguzi ulifanyika kwa uhuru mkubwa. Viongozi ambao wengi waliwataka, walikwishapatikana. Kuwakataa viongozi waliopatikana kidemokrasia na kwa kufuata kanuni na taratibu zote za chama, ni kukihujumu chama. Anayehujumu chama ni adui wa chama.
Naunga mkono hoja.Nchi hii ni muhimu Serikali ikafuta vyama vingine vibaki vyama vitatu vikubwa pekee, iwekeze nguvu ya kutosha na vipewe pesa kusaidia Nchi kukuza DEMOKRASIA na maendeleo
Huyu bwege anadhani kwa kuropoka hivi anakisaidia chama na kwa upeo wake sijui atawasghuliaje wasiompenda Mzee wa Ubelgiji?Mwenyekiti CHADEMA Kanda Kaskazini Wakili Welwel wakati akifungua kikao kazi kilichohutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa Kamanda John Heche kilichofanyika Siku ya jana Equator Hotel Arusha amesema kuna wanachadema bado wanaugulia maumivu kama vile wamefiwa. Anahoji ni maumivu gani ya mwezi mzima yasiyopona baada ya uchaguzi.
Ametishia kuwashughulikia ikiwemo kuwapa kesi ya uhaini kwenye chama.
View attachment 3246768
Suluhisho ni serikali kuruhusu mgombea binafsi, vyama vitajifia vyenyewe na huu udikteta wa vyama utazikwa.Shida ni kuwa ,ukihama CHADEMA unaenda wapi!
Nchi hii ni muhimu Serikali ikafuta vyama vingine vibaki vyama vitatu vikubwa pekee, iwekeze nguvu ya kutosha na vipewe pesa kusaidia Nchi kukuza DEMOKRASIA na maendeleo
Kuvunja vyama vilivyoanzishwa kwa lengo la yawadanganya WB & IMF inakuwa si rahisi...ndio maana ndani ya vyama kumejaa mizaha.Demokrasia ya kweli inaleta maendeleo,maana ni Hoja tu ndizo zinazoshindanishwa.2049 wengi waoShida ni kuwa ,ukihama CHADEMA unaenda wapi!
Nchi hii ni muhimu Serikali ikafuta vyama vingine vibaki vyama vitatu vikubwa pekee, iwekeze nguvu ya kutosha na vipewe pesa kusaidia Nchi kukuza DEMOKRASIA na maendeleo
Yaan mwenyekiti wa Taifa hakubaliki?Mwenyekiti CHADEMA Kanda Kaskazini Wakili Welwel wakati akifungua kikao kazi kilichohutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa Kamanda John Heche kilichofanyika Siku ya jana Equator Hotel Arusha amesema kuna wanachadema bado wanaugulia maumivu kama vile wamefiwa. Anahoji ni maumivu gani ya mwezi mzima yasiyopona baada ya uchaguzi.
Ametishia kuwashughulikia ikiwemo kuwapa kesi ya uhaini kwenye chama.
View attachment 3246768
eti ng'we ng'we ng'we,Shida ni kuwa ,ukihama CHADEMA unaenda wapi!
Nchi hii ni muhimu Serikali ikafuta vyama vingine vibaki vyama vitatu vikubwa pekee, iwekeze nguvu ya kutosha na vipewe pesa kusaidia Nchi kukuza DEMOKRASIA na maendeleo
ThanksMwenyekiti CHADEMA Kanda Kaskazini Wakili Welwel wakati akifungua kikao kazi kilichohutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa Kamanda John Heche kilichofanyika Siku ya jana Equator Hotel Arusha amesema kuna wanachadema bado wanaugulia maumivu kama vile wamefiwa. Anahoji ni maumivu gani ya mwezi mzima yasiyopona baada ya uchaguzi.
Ametishia kuwashughulikia ikiwemo kuwapa kesi ya uhaini kwenye chama.
View attachment 3246768