Uchaguzi 2020 Mwenyekiti CHADEMA Ubungo ahamia ACT Wazalendo kwa madai kwamba CHADEMA kuna ubakaji wa Demokrasia na upendeleo kwa Boniface Jacob

Hilo jimbo ata mkishinda mtapokonywa kwa nguvu za dora, daslama hii hakuna mpinzan atakaeingia mjengoni.
 
Aache siasa.Hivi huyu Ni wa kushindana na Meya Jacob kweli hata kiutendaji tu.Sinza Ni moja Kati ya maeneo mazuri lakini miundombinu mibovu.Asisingizie Uchaguzi huu.Jacob anaweza hata kuwa mbunge wa Dar mzima.

Chama cha demokrasia na maendeleo🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sawa wewe msubiri mbunge wako Mtulia hapo kinondoni ndo mtajuwa hizo foleni zakutoka Temeke hadi Tegeta nizakujochosha.

Hata angebaki cuf angeshindwa, sasa ni huku chama kubwa anaweza pata nafasi ingine kuliko kusota bila kujua hatma yake.
 
Aache siasa.Hivi huyu Ni wa kushindana na Meya Jacob kweli hata kiutendaji tu.Sinza Ni moja Kati ya maeneo mazuri lakini miundombinu mibovu.Asisingizie Uchaguzi huu.Jacob anaweza hata kuwa mbunge wa Dar mzima.
Miundo mbinu ni kazi ya serikali ,yeye alitimiza wajibu wake kwa kuwakilisha kero serikalini ,acha ushamba dogo
 
Miundo mbinu ni kazi ya serikali ,yeye alitimiza wajibu wake kwa kuwakilisha kero serikalini ,acha ushamba dogo
Najua Ni wajibu wa serikali, lakini yeye hakutimiza wajibu wake ipasavyo.Kwanza Ni diwani wa zamani,sio wa saiz.Lakini kwa Jimbo la Ubungo,Jacob amelitendea haki Sana ukilinganisha na wengine Ndio maana amepata kura nyingi na so Kama jamaa ako anavyotaka kutudanganya kuwa Jaco amependelewa.
 
Miundo mbinu ni kazi ya serikali ,yeye alitimiza wajibu wake kwa kuwakilisha kero serikalini ,acha ushamba dogo
Kwahiyo mnaposema Mbowe hajafanya lolote jimbo la Hai huwa mnadanganya ?
 
 
Wewe diwani unashindana na meya ,umefanya uamuzi was maana kubali yaishe
 
Sa unataka kujilinganisha na Jacob kweli!!? kakuzid mbali ondoka tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…