Pre GE2025 Mwenyekiti Halamshauri ya Wilaya ya Nachingwea: Rais Samia ameboresha maisha ya wananchi wa Nachingwea

Pre GE2025 Mwenyekiti Halamshauri ya Wilaya ya Nachingwea: Rais Samia ameboresha maisha ya wananchi wa Nachingwea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suhulu Hassan amepeleka zaidi ya Bilioni 2 katika miradi ya maendeleo Wilaya ya Nachingwea katika mwaka wa fedha wa 2020/2025 ambayo umesaidia kukuza uchumi wa Wananchi wa Nachingwea.

Akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Adinan Mpyagila alisema kuwa Rais Dkt.Samia Suhulu Hassan amejenga Nachingwea kukuza uchumi wa wananchi kwa maendeleo yao.

 
Back
Top Bottom