Mwenyekiti Mbowe akiachia madaraka haitaleta madhara kama Mchungaji Msigwa alivyoamia CCM?

Mwenyekiti Mbowe akiachia madaraka haitaleta madhara kama Mchungaji Msigwa alivyoamia CCM?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Mimi binafsi napenda siasa za amani, siasa zinazochochea fikra pevu, maendeleo, utawala bora amani na upendo.

Hivyo hata ktk comment zangu na nyuzi zangu najitanabaisha kama mtu wa namna hiyo.

Hivyo basi sipendi nawala siungi mkono siasa za vurugu, mapigano, uchochezi, husuda, ulozi, kutekana, kuuana, kudhalilisha na kuhujumiana.

Ndio maana basi nataka tutafakari pamoja na kung'amua mamoja.

Au ni wasi wasi wangu tu?
 
Mimi binafsi napenda siasa za amani, siasa zinazochochea fikra pevu, maendeleo, utawala bora amani na upendo.

Hivyo hata ktk comment zangu na nyuzi zangu najitanabaisha kama mtu wa namna hiyo.

Hivyo basi sipendi nawala siungi mkono siasa za vurugu, mapigano, uchochezi, husuda, ulozi, kutekana, kuuana, kudhalilisha na kuhujumiana.

Ndio maana basi nataka tutafakari pamoja na kung'amua mamoja.

Au ni wasi wasi wangu tu?
Amani iwe kwenu
 
Mimi binafsi napenda siasa za amani, siasa zinazochochea fikra pevu, maendeleo, utawala bora amani na upendo.

Hivyo hata ktk comment zangu na nyuzi zangu najitanabaisha kama mtu wa namna hiyo.

Hivyo basi sipendi nawala siungi mkono siasa za vurugu, mapigano, uchochezi, husuda, ulozi, kutekana, kuuana, kudhalilisha na kuhujumiana.

Ndio maana basi nataka tutafakari pamoja na kung'amua mamoja.

Au ni wasi wasi wangu tu?
Ukiweka unafiki pembeni, utakubaliana na Ukweli mchungu kwamba Freeman Mbowe ni mtu ambaye Hana misimamo thabiti inayoeleweka. Hii ni hatari Sana kwa mtu kama yeye ambaye mwenye mamlaka ya kuwaongoza watu kwenye jamii. Ni LAZIMA Sana kwa mtu kiongozi kuwa na misimamo inayoeleweka na/au misimamo isiyoyumba. Ila Mbowe amekuwa kama kinyonga, 'rangi yake halisi haijulikani.'
 
Viongozi wengi wa upinzani Africa ushawish unapungua Kwa kuendekeza maridhiano na watawala, TOKA ALIPOMSIFIA SAMIA MWANZA ALIWAVUNJA MOYO SANA, WAPENDA MABADILIKO.
 
Mimi binafsi napenda siasa za amani, siasa zinazochochea fikra pevu, maendeleo, utawala bora amani na upendo.

Hivyo hata ktk comment zangu na nyuzi zangu najitanabaisha kama mtu wa namna hiyo.

Hivyo basi sipendi nawala siungi mkono siasa za vurugu, mapigano, uchochezi, husuda, ulozi, kutekana, kuuana, kudhalilisha na kuhujumiana.

Ndio maana basi nataka tutafakari pamoja na kung'amua mamoja.

Au ni wasi wasi wangu tu?
SHIDA YA AFYA YA AKILI NI KUBWA SANA, mkuu wahi mirembe mapema, SEMA na ndugu zako 🤔🤔🤔
 
Kimsingi bila kupepesa macho ameshaoverstay! Hamna kitu kipya chenye tija anaweza kufanya kwa sasa baada ya kutumika miaka yote hiyo. Akapumzike tu aachie damu mpya.

Katika maisha hamna mtu muhimu kuliko mwingine, kila binadamu anakuja duniani kwa mission na ikikamilika hamna kipya anachoweza kuongeza tena. Akili na mbinu zake zishagota, aliandikiwa kufikisha upinzani na Chadema alipofika aachie watu wenye mawazo na mbinu mpya sasa (sio offence) kabla hajavunja heshima yake aliyojijengea hadi sasa.

Walikuwepo watu muhimu kama Nyerere, Magu, Kawawa, Sokoine nk na wakaondoka muda wao ulipofika na hakukua na madhara yoyote, kandoka Biden na America inaendelea aliondoka Yesu na maisha yakaendelea na huenda yaliboreka zaidi, so akiondoka Mbowe maisha yataendelea na Chadema itakuwepo. Haya malalamiko anayotoa kila mission yake inapofeli watanzania washayazoea na hayawapi tena hisia zozote kama zamani.

Kwa mpiga muziki yoyote anajua the time to leave the stage, usisubiri hadi watu waanze kukurushia chupa za maji ndo ujue hamna excitement tena unayowapa. So mtazamo wangu with povu ruksa najua hakutakuwa na madhara yoyote hata akiondoka leo, na zaidi kutaimprove trust japo kidogo, kwa kuwa imeshuka sana.
 
Ukiweka unafiki pembeni, utakubaliana na Ukweli mchungu kwamba Freeman Mbowe ni mtu ambaye Hana misimamo thabiti inayoeleweka. Hii ni hatari Sana kwa mtu kama yeye ambaye mwenye mamlaka ya kuwaongoza watu kwenye jamii. Ni LAZIMA Sana kwa mtu kiongozi kuwa na misimamo inayoeleweka na/au misimamo isiyoyumba. Ila Mbowe amekuwa kama kinyonga, 'rangi yake halisi haijulikani.'
Sawa
 
Kimsingi bila kupepesa macho ameshaoverstay! Hamna kitu kipya chenye tija anaweza kufanya kwa sasa baada ya kutumika miaka yote hiyo. Akapumzike tu aachie damu mpya.
Tunamshukuru kwa kuwa chachu ya drmokrasia Tanzania na uwezo wake wa kuibua vipaji vipya
 
Viongozi wengi wa upinzani Africa ushawish unapungua Kwa kuendekeza maridhiano na watawala, TOKA ALIPOMSIFIA SAMIA MWANZA ALIWAVUNJA MOYO SANA, WAPENDA MABADILIKO.
Kutafuta amani ni kosa?
 
Kutafuta amani ni kosa?
Sio kosa, ila kilichofanyika alitumika na Serikali, kuonyesha zama za utawala wa kimabavu zimepita na Demokrasia imetamalaki, Kitu ambacho sio kweli mambo yapo vilevile Tume ya uchaguzi, kukatwa majina wapinzan na utekaji na mengine NDIYO MAANA TUNDU ALIKAA MBALI NA MARIDHIANO ALIJUA DHAMIRA YA C CM
 
Sio kosa, ila kilichofanyika alitumika na Serikali, kuonyesha zama za utawala wa kimabavu zimepita na Demokrasia imetamalaki, Kitu ambacho sio kweli mambo yapo vilevile Tume ya uchaguzi, kukatwa majina wapinzan na utekaji na mengine NDIYO MAANA TUNDU ALIKAA MBALI NA MARIDHIANO ALIJUA DHAMIRA YA C CM
Mkuu kwa nyakati zile Mh Mbowe alifanya kitu sahihi.

Imagine watu wetu wangapi walikuwa wamefungwa kwa makosa ya kughushi na kubambikizwa? Ni watu wetu wangapi walikuwa anateswa, kutekwa na kuuawa? Unless you dont care unaweza kudharau mpango wa chama kwa wakati ule.
 
si
Ukiweka unafiki pembeni, utakubaliana na Ukweli mchungu kwamba Freeman Mbowe ni mtu ambaye Hana misimamo thabiti inayoeleweka. Hii ni hatari Sana kwa mtu kama yeye ambaye mwenye mamlaka ya kuwaongoza watu kwenye jamii. Ni LAZIMA Sana kwa mtu kiongozi kuwa na misimamo inayoeleweka na/au misimamo isiyoyumba. Ila Mbowe amekuwa kama kinyonga, 'rangi yake halisi haijulikani.'
kweli.unaongozwa na chuki katika mawazo yako
 
Ajabu kubwa ni kuwa wadau wengi wanaotaka Mbowe ang'atuke upesi ili CHADEMA iwe bora zaidi ni uvccm na machawa wao.

Yaani, ni kama SIMBA waje ni mikakati kabambe ya kuboresha timu ya YANGA, and vice versa !!!
 
Mkuu kwa nyakati zile Mh Mbowe alifanya kitu sahihi.

Imagine watu wetu wangapi walikuwa wamefungwa kwa makosa ya kughushi na kubambikizwa? Ni watu wetu wangapi walikuwa anateswa, kutekwa na kuuawa? Unless you dont care unaweza kudharau mpango wa chama kwa wakati ule.
Siyo kwamba hakuna alichokifanya Kwa wakati ule, lakin sote tunajua jinsi CCM wanavyotumia hila kuhakikisha wanabaki madarakani, ilikuwa mbaya Kwa kiongozi wa upinzan kuimwagia sifa serikali Kwa namna Ile, hata kufikia hatua ya kumualika Samia kwenye BAWACHA, MISIMAMO NI KITU MUHIMU SANA CCM NI ILEILE TUSIJISAHAULISHE.
 
Back
Top Bottom