Mwenyekiti Mbowe akiachia madaraka haitaleta madhara kama Mchungaji Msigwa alivyoamia CCM?

Mwenyekiti Mbowe akiachia madaraka haitaleta madhara kama Mchungaji Msigwa alivyoamia CCM?

Siyo kwamba hakuna alichokifanya Kwa wakati ule, lakin sote tunajua jinsi CCM wanavyotumia hila kuhakikisha wanabaki madarakani, ilikuwa mbaya Kwa kiongozi wa upinzan kuimwagia sifa serikali Kwa namna Ile, hata kufikia hatua ya kumualika Samia kwenye BAWACHA, MISIMAMO NI KITU MUHIMU SANA CCM NI ILEILE TUSIJISAHAULISHE.
Walitulaghai na 4r
 
Sio kosa, ila kilichofanyika alitumika na Serikali, kuonyesha zama za utawala wa kimabavu zimepita na Demokrasia imetamalaki, Kitu ambacho sio kweli mambo yapo vilevile Tume ya uchaguzi, kukatwa majina wapinzan na utekaji na mengine NDIYO MAANA TUNDU ALIKAA MBALI NA MARIDHIANO ALIJUA DHAMIRA YA C CM
Tundu Lissu ni Mpinzani ambae yuko serious kuingoa CCM hiyo ni hatari kwako
 
Back
Top Bottom