Mwenyekiti Mbowe, CHADEMA kuna biashara gani?

Mwenyekiti Mbowe, CHADEMA kuna biashara gani?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Ndugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.

Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.

Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.

Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?
 
Ndugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.

Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.

Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.

Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?
Ruzuku ndiyo maana hataki chama kijitegemee
 
ni kama MO anavyosema simba ina mpa hasara lakini hataki kuiachia kwa kisingizio cha mapenzi kwa timu.
ukweli ni kwamba hizi taasisi zenye attention kwa jamii zina milango mingi sana ya kupiga hela na ma deal mbalimbali, ukiangalia juu juu ni kweli wanachotoa ni kingi kuliko wanachoingiza, ila indirectly kuna michongo mingi sana inatiki kwa title ya hizi taasisi.
kwahyo Mbowe sio mlevi wa mapenzii kwa chadema, anaipa hela, na inampa ma deals
 
Apumzishwe tu, ameshindwa kustaafu kwa heshima sasa ni zamu yetu wajumbe kumpumzisha kwa lazima.
Chama lazima kisonge mbele kwa fikra mpya na sahihi
 
Mfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
IMG-20241206-WA0083(1).jpg
 
Ndugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.

Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.

Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.

Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?
Kuna biashara inayoitwa 'siasa' .
 
Eti kuna kitu anataka kupush! Umeshindwa kupush miaka 20?Kweli aliyetuita Nyumbu hakukosea
Ninahakika akitoka madarakani, ukweli utajulikana baada ya muda. Mbowe kutaka kuendelea kuwa Mwenyekit,i kuna sababu nyuma yake inayomlazimisha ang"ang"anie uenyekiti na wala sio kwa lengo la kukisaidia chama kutimiza lengo la kushika dola.
 
Ndugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.

Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.

Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.

Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?
Broo umekuwa mpumbavi sana siku hizi kisa tu siasa za Mbowe na Lissu.

Hivi unaelewa kweli kusimamia maono na mpango unaokuwa nao?

Wangapi wanawekeza katika jambo fulani lakin wakati mwingine hufeli. Unadhani ikitokea chadema wakapata dol Mbowe ama yeyote yule hata faidika.

Hata wakipata wabunge wengi unadhani hakuna kiongozi atakaye faidika?
Usijitoe akili, Mbowe ameshasema wajumbe wasipo mchagua kwake itakuwa heri.

Wekeza kwenye kampeni wajumbe wasimchague Mbowe, atoke kidemkrasia.
Figisu hajaumbiwa Mbowe tu, fanyeni siasa za jino kwa jino ili mumtoe Mbowe.
 
Apumzishwe tu, ameshindwa kustaafu kwa heshima sasa ni zamu yetu wajumbe kumpumzisha kwa lazima.
Chama lazima kisonge mbele kwa fikra mpya na sahihi
Kabisa
Wajumbe wamchinjilie mbali huko, nilikuwa namuamini kumbe Hana succession plan Kwa chama alichokijenga?? Anataka kutufundisha nini kwenye siasa huyu mwenyekiti, kwamba kiti kina asali anaendelea kulamba!!
 
Broo umekuwa mpumbavi sana siku hizi kisa tu siasa za Mbowe na Lissu.

Hivi unaelewa kweli kusimamia maono na mpango unaokuwa nao?

Wangapi wanawekeza katika jambo fulani lakin wakati mwingine hufeli. Unadhani ikitokea chadema wakapata dol Mbowe ama yeyote yule hata faidika.

Hata wakipata wabunge wengi unadhani hakuna kiongozi atakaye faidika?
Usijitoe akili, Mbowe ameshasema wajumbe wasipo mchagua kwake itakuwa heri.

Wekeza kwenye kampeni wajumbe wasimchague Mbowe, atoke kidemkrasia.
Figisu hajaumbiwa Mbowe tu, fanyeni siasa za jino kwa jino ili mumtoe Mbowe.
Mtu akiwa mpumbavu, unapuuzia tu hoja zake maisha yanaenda.
 
Mtu akiwa mpumbavu, unapuuzia tu hoja zake maisha yanaenda.
Kuna watu hutakiwi kupuuzia hoja zao. Hasa mtu kama wewe. Nimekuwa nikisoma maandiko yako mengi kwa muda sasa naamini hata wengine. Haya ya siasa za Mbowe na Lissu ni kama yamekuvuruga kabisa.

Rudi kwenye mstari achana na uchawa na siasa za maji taka. You are better than this.
 
Ndugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.

Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.

Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.

Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?
uongozi uliyo imara ni ule unaotokana na kupewa kijiti na mwenzako kwa amani.yani anakuwa amekuaanda vyema na amekuamini.Hii ya chadema ya kuvuana nguo ni uhuni tu
 
Chadema kuna Wajumbe na wanachama wanamhitaji na ni haki yake kikatiba agombee. Humtaki usimpigie kura.
 
Back
Top Bottom